Gm
Kama mtu Ana Suzuki carry (kirikuu) na anahitaji dereva Basi nipo hapa.
Ninaweza kuleta hesabu nzuri kwa siku kwa uaminifu mkubwa.
Napatikana Dodoma.
Hata kama Kuna mchongo mwingine wa kazi ya udereva naomba connection. Leseni yangu daraja D na Nina uzoefu na gari zote manual na automatic...
Mrejesho.
Baada ya kupost uzi huu Kuna watu walinifuata PM kwa Nia ya kunisaidia.
Nichukue fursa hii kuwashukuru wote kwa moyo wenu na nimetambua kuwa duniani bado Kuna watu wema ambao wanaweza kukusaidia hata Kama hawakujui.
Shukrani za kipekee zimwendee mkuu Ushimen ambaye alinitafuta na...
Niwatoe wasiwasi Ushimen na wengine. Kuna baadhi ya vipengele sijaviweka wazi kwa sababu ya privacy. Alafu sometime hii simu Kuna ndugu huwa wanaitumia. Ndo maana ile post ya kufeli kidato Cha nne imeandikwa na binti (rejea uisome vizuri).
Kama binadamu ukiona hivo lazima upate wasiwasi lkn...
Mwaka juzi nilichaguliwa Chuo cha Mwenge kule Moshi lkn sikufanikiwa kwenda kutokana na hali ngumu ya kiuchumi. Sikuwa na hela hata kidogo na wakati huo ndo nilikua nimetoka form six. Home wazazi ni hohehahe wa kutupwa hawana mbele Wala nyuma.
Sikupata mkopo hata ASILIMIA sifuri hivyo nikaamua...
Nikiingia app ya camera inaandika " cant connect to camera. Please close other applications which may use camera or flashlight"
Nimejaribu alternative kadhaa
1 nimerestart simu
2. Setting>apps>camera>clear cache and clear data.
3 Holding power button for about 20-30s until powering off then...
Post #47 mkuu.
By the way siwezi kuacha kutuma jf hata kama nitalala nje kwenye mtaro bado nitakua hewani hasa kwenye jukwaa pendwa la biashara uchumi na ujasiriamali.
UPDATE
mpangaji mpya ashahamia jioni ya leo.
Mimi nimehamia kwa rafiki yangu mmoja hivi mpambanaji mwenzangu.
Nitajishikiza hapa kwa siku kadhaa wakati natafuta hela za kupanga. Ndugu zangu maisha ni magumu.
Nilichojifunza so far na ambacho ningependa asomaye hapa akielewe:
1. Ndugu zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.