Wakati timu zinajiaanda na Mechi round ya tano, Yanga walicheza back to back ndo wakakutana na CR Belouzdad.
Wakati Simba wanaomba recovery kwa wachezaji wao, Yanga wao wajiona wanaweza kwenda na move ileile kucheza kila baada ya siku 3, Tena mechi ngumu. Ujuaji utawagharimu.
Wachambuzi wa MCHONGO wanalipwa ili kuwafariji AYUBU FC.
Vipi Kama wanalipwa kuwafariji Utopo FC!?? Maana hawawezi kukomalia mechi moja wakati wanajua ziko mbili.
Ata hivyo, kibaya Cha jitembeza, Simba haina shobo na media.
1. Wakati anahitaji penzi la binti alimlazimisha, binti akakubali akampatia alichotaka.
2. Kwa sasa dogo amepata kazi, na Yuko mbali na binti. Binti anahitaji kuwa karibu na dogo, dogo ataki kuoa.
Mwambie dogo atimize ahadi yake. Watajitafuta wote wakiishi pamoja.
Samahani mtoa mada.
1. Unaweza kuweka taarifa ya polisi ili tuisome pia?
2. Kwanini wewe unapinga taarifa ya Mdude Nyagali? Kwani imekuwa tuhuma ya kwanza kwa jeshi letu au walinzi was usalama kuua ama kujeruhi raia wasio na hatia?
3. Marehemu alipatwa na tatizo la moyo baada ya kuwa amefungwa...
Aiseee! Kwahiyo unataka kusema kwamba huko Manyara hakuna wanachama wa Chadema, ambao wameshiriki kutoa msaada Kama nilivyoandika? Ungesoma kwa umakini nafikiri usinge jibu namna hii.
Ni kweli kuwa, hakuna chombo chochote Cha habari kilichotoa taarifa kuhusu Chadema Kama taasisi kutoa msaada wowote huko Katesh, Manyara. Lakini wanachama wake wameshiriki kutoa msaada wa Hali na Mali, tangu siku ya kwanza Hadi leo.
Naamini kwamba, wanachama wa Chadema huko Katesh na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.