Recent content by General Nguli

  1. General Nguli

    JamiiForums Tanzania KERO Ngerengere Morogoro Umeme una tendency ya kukatika kila siku

    Leo kiza kinaendelea Tena Tareh 19 Sep 26 umeme umekatika majira ya sanne Asubuhi mpaka usiku muda huu Sa mbili haujarudi...Naedelea Tena Kusema kwamba changamoto ya umeme inazidi kila kukicha...Maana umeme hukatika kila siku Tangu tupate Uhuru. Narudia Kusema changamoto hii ni kwa Kijiji Cha...
  2. General Nguli

    JamiiForums Tanzania KERO Ngerengere Morogoro Umeme una tendency ya kukatika kila siku

    Leo Tena umekatika umemem..hapa KIJIJINI KWETU.Kitu kinacho tushangaza ni kwamba Kanda zingine wanapo tarajia kukata UMEME huwa wanajulishwa kwa njia mbalimbali kupitia matangazo ya Sms kwenye simu na mitandao ya kijamii.. Tofauti kabisa na Kijiji Chetu Cha NGERNGER.Maana hukata na KUrudisha...
  3. General Nguli

    JamiiForums Tanzania KERO Ngerengere Morogoro Umeme una tendency ya kukatika kila siku

    Basi inakuweje umeme uwe unakatika kila siku miaka yote
  4. General Nguli

    JamiiForums Tanzania KERO Ngerengere Morogoro Umeme una tendency ya kukatika kila siku

    Bado KIJIJINI KWETU umeme unaendelea kukatika kila siku miaka yote...
  5. General Nguli

    JamiiForums Tanzania KERO Ngerengere Morogoro Umeme una tendency ya kukatika kila siku

    TANESCO wanaendelea na utaratibu wao wasiku zote wa kukata umeme kila siku bila kujali... Ikumbukwe kadhia hii inakumbwa sana katika Kijiji Chetu Cha NGERNGER MOROGORO VIJIJINI. NILISHASEMA KUWA KILA UMEME UNAPOKATIKA BASI SITO SITA KUTOA TAARIFA HAPA JUKWAANI. KWANI HILI JANGA LA KUKATIKA...
  6. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    BADO TUNAENDELEA NA KUTESEKA NA UMEME HAPA KIJIJINI KWETU NGERNGER MKOA WA MOROGORO. SASA LEO ZOEZI WALILONALO NI KUKATA NA KUTUDISHA PUNDE KWA PUNDE BILA TAARIFA WA KUJALI HALI ZA WATU
  7. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Elewa umeme hakuna Mkoa Morogoro Morogoro vijijini. Kijiji Ngernger Tumekuwa na kadhia ya Umeme miaka yote kwa maana haijawahi tokea umeme usikatike kila siku
  8. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    LEO TENA KIJIJINI KWETU NGERNGER MOROGORO.UMEME UMEENDELEA KUWA JANGA MPAKA SASA HAKUNA UMEME
  9. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Maelezo yanajitosheleza...wao wanataka majina yangu na sehem nayo kaa🤣
  10. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Nitoe taarifa alafu nite...
  11. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Huko umeme haukatiki
  12. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Hupewa majibu MEPESI.
  13. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Upanga
Back
Top Bottom