Mi nlivyosoma...hakuna nchi inayokombolewa kwa makaratasi...
Kama ni waoga msisumbue watu na mitandao.
Hakuna utawala wowote Duniani uliondolewa just simple kwa karatasi..Never ever
Madogo asaivi wanazingua...Dogo ana lamba mdomo na kumung'unya maneno kama Omary Kop.
Any way shida ilianza baada ya baba Nyerere kukabidhiwa Taifa alafu akashindwa kuonesha njia za kwetu kama Tz
Yaap Nisha Fanya na ndo Biashara ilio nitoa.
nlikuwa nauza Pochi za wanawake.Nlikuwa na Connection kariako ya kupata Mzigo.Kila Pochi nlitengeneza faida ya Tsh 3000 Kila mnada nliuza wastani wa Pochi 15 nakuendelea.
Pia nikajua minada ilio karibu na mkoa wangu na Mikubwa nje ya Mkoa hasa Dodoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.