Recent content by General Nguli

  1. General Nguli

    Ni sawa kuacha biashara ya Bajaji, kuingia kwenye biashara ya kuuza kanga, madera na vijora minadani mikoani hasa mkoa wa mwanza?

    Yaap Nisha Fanya na ndo Biashara ilio nitoa. nlikuwa nauza Pochi za wanawake.Nlikuwa na Connection kariako ya kupata Mzigo.Kila Pochi nlitengeneza faida ya Tsh 3000 Kila mnada nliuza wastani wa Pochi 15 nakuendelea. Pia nikajua minada ilio karibu na mkoa wangu na Mikubwa nje ya Mkoa hasa Dodoma...
  2. General Nguli

    Ntaanzisha Tanzania Space Colonization Mission (TaScom)

    Wazo zuri na hupaswi kukata tamaa.Lakini Kwa Ushauri wangu nivyema Gharama za Muda na pesa basi tujikite kwenye Changamoto mama katika taifa letu
  3. General Nguli

    Ni sawa kuacha biashara ya Bajaji, kuingia kwenye biashara ya kuuza kanga, madera na vijora minadani mikoani hasa mkoa wa mwanza?

    Ukiwa na mtaji na Formula za minadani lazima utoboe.Bajaji ntachelewa Sana.Biashara ni mbinu na Akili tuu
  4. General Nguli

    Nina miaka mitano sijala UGALI

    Naunga mkono hoja
  5. General Nguli

    Mashine nzuri ya kuchuja maji (Water filter.)

    Maji hayo yanatoka kisimani
  6. General Nguli

    Mashine nzuri ya kuchuja maji (Water filter.)

    Kwema wakuu...! Naomba kufahamishwa Mashine ndogo ya kuchuja maji safi Kwa matumizi ya kawaida nyumbani aina zake na Gharama zake NatanguIiza shukrani
  7. General Nguli

    Naomba mnisaidie link ya kudownload majina Facebook

    Nlikuwa nayo sasa sijui napataje
  8. General Nguli

    Naomba mnisaidie link ya kudownload majina Facebook

    Ile link nliwah kuwa nayo lakini asaivi sionii
  9. General Nguli

    Naomba mnisaidie link ya kudownload majina Facebook

    Mi mwenyewe Leo ndo nimekumbwa na hii changamoto
  10. General Nguli

    Majuto ya Chid Benz

    China Mtu anae huza ama kutumia Madawa ya kulevya Adhabu yake ni Kifo. Chidi nikama tayari Amekufa ki Akili.Laana ziwaendee wale wote walio mpa na kumnunulia Madawa.Tazama Hali yake sasa
  11. General Nguli

    Ubaguzi wa polisi dhidi ya Waafrika nchini Marekani haujabadilika

    Kifo cha Yule mwamba kiliniuma Sana...Toka hiyo siku sikuipenda nchi ya Marekani. Na mpaka Jamaa anafariki hata sikuamini asee.... Ngoja niende tweeter nikuone tena kifo kile.
  12. General Nguli

    PreGE2025 Majibu ya seneta wa Migori (Kenya) Hon : "Eddy Gicheru Oketch" kuhusu Bunge la Tanzania

    Hii statement ni kweli Ama...???? Ujumbe huu ni Msumari mkali Kwa Wabunge wetu.Mi sijaenda Shule lakini hapana asee. Mtoto angu Asome tuu sio Kwa dharau hizi. Na wakenya Wana Misimamo mikali. Ila Kongole kwake. Maana si Kwa kunyooka Huku.
Back
Top Bottom