Yaap Nisha Fanya na ndo Biashara ilio nitoa.
nlikuwa nauza Pochi za wanawake.Nlikuwa na Connection kariako ya kupata Mzigo.Kila Pochi nlitengeneza faida ya Tsh 3000 Kila mnada nliuza wastani wa Pochi 15 nakuendelea.
Pia nikajua minada ilio karibu na mkoa wangu na Mikubwa nje ya Mkoa hasa Dodoma...
China Mtu anae huza ama kutumia Madawa ya kulevya Adhabu yake ni Kifo.
Chidi nikama tayari Amekufa ki Akili.Laana ziwaendee wale wote walio mpa na kumnunulia Madawa.Tazama Hali yake sasa
Kifo cha Yule mwamba kiliniuma Sana...Toka hiyo siku sikuipenda nchi ya Marekani.
Na mpaka Jamaa anafariki hata sikuamini asee....
Ngoja niende tweeter nikuone tena kifo kile.
Hii statement ni kweli Ama...????
Ujumbe huu ni Msumari mkali Kwa Wabunge wetu.Mi sijaenda Shule lakini hapana asee.
Mtoto angu Asome tuu sio Kwa dharau hizi.
Na wakenya Wana Misimamo mikali.
Ila Kongole kwake.
Maana si Kwa kunyooka Huku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.