Leo kiza kinaendelea Tena Tareh 19 Sep 26 umeme umekatika majira ya sanne Asubuhi mpaka usiku muda huu Sa mbili haujarudi...Naedelea Tena Kusema kwamba changamoto ya umeme inazidi kila kukicha...Maana umeme hukatika kila siku Tangu tupate Uhuru.
Narudia Kusema changamoto hii ni kwa Kijiji Cha...
Leo Tena umekatika umemem..hapa KIJIJINI KWETU.Kitu kinacho tushangaza ni kwamba Kanda zingine wanapo tarajia kukata UMEME huwa wanajulishwa kwa njia mbalimbali kupitia matangazo ya Sms kwenye simu na mitandao ya kijamii..
Tofauti kabisa na Kijiji Chetu Cha NGERNGER.Maana hukata na KUrudisha...
TANESCO wanaendelea na utaratibu wao wasiku zote wa kukata umeme kila siku bila kujali...
Ikumbukwe kadhia hii inakumbwa sana katika Kijiji Chetu Cha NGERNGER MOROGORO VIJIJINI.
NILISHASEMA KUWA KILA UMEME UNAPOKATIKA BASI SITO SITA KUTOA TAARIFA HAPA JUKWAANI.
KWANI HILI JANGA LA KUKATIKA...
BADO TUNAENDELEA NA KUTESEKA NA UMEME HAPA KIJIJINI KWETU NGERNGER MKOA WA MOROGORO.
SASA LEO ZOEZI WALILONALO NI KUKATA NA KUTUDISHA PUNDE KWA PUNDE BILA TAARIFA WA KUJALI HALI ZA WATU
Elewa umeme hakuna
Mkoa Morogoro
Morogoro vijijini.
Kijiji Ngernger
Tumekuwa na kadhia ya Umeme miaka yote kwa maana haijawahi tokea umeme usikatike kila siku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.