Recent content by General Nguli

  1. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Kutaka katiba mpya katika Mazingira ya Utawala usiojali Maoni ya wananchi ni kujitoa ufahamu!

    Mi nlivyosoma...hakuna nchi inayokombolewa kwa makaratasi... Kama ni waoga msisumbue watu na mitandao. Hakuna utawala wowote Duniani uliondolewa just simple kwa karatasi..Never ever
  2. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Nasubili kusikia hadi sasa hivi tajiri katumia bilion ngapi pale msimbazi hadi sasa hivi

    Tajiri Mswahili tajiri Vijora Tajiri mpenda Kiki...Mengine malizieni UKWELI SIMPENDI
  3. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Ukweli lazima usemwe Samia sio mbaya kiivyo na inawezekana hata October 29 yeye sio muhusika mkuu kwasababu yuko front page

    Anamaanisha sio yeye alie shika bunduki kwakuwa Muda wote yuko front page
  4. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye sauti zenye "base" la kutetemesha wameishia wapi?

    Madogo asaivi wanazingua...Dogo ana lamba mdomo na kumung'unya maneno kama Omary Kop. Any way shida ilianza baada ya baba Nyerere kukabidhiwa Taifa alafu akashindwa kuonesha njia za kwetu kama Tz
  5. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya hewa Marangu -Rombo haifai siku ya leo Juni 25

    Kabisa naungana na wewe
  6. General Nguli

    JamiiForums Tanzania UKIMWI Upo: Siamini na mimi umenipata

    Ndo hapo sikuelewi au labda kashindwa kufafanua kipimo kwa bint chap kwake kimesoma
  7. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: Leo nimetua mzigo mzito wa mahusiano

    Alafu hapo anatuambia kautua mzigo huo...Hawa madogo bhana wanatuchanganya sisi wazee...
  8. General Nguli

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Ubunge Tabora agalagala kumwombea kura Samia

    Nchi yangu
  9. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuacha biashara ya Bajaji, kuingia kwenye biashara ya kuuza kanga, madera na vijora minadani mikoani hasa mkoa wa mwanza?

    Yaap Nisha Fanya na ndo Biashara ilio nitoa. nlikuwa nauza Pochi za wanawake.Nlikuwa na Connection kariako ya kupata Mzigo.Kila Pochi nlitengeneza faida ya Tsh 3000 Kila mnada nliuza wastani wa Pochi 15 nakuendelea. Pia nikajua minada ilio karibu na mkoa wangu na Mikubwa nje ya Mkoa hasa Dodoma...
  10. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Ntaanzisha Tanzania Space Colonization Mission (TaScom)

    Wazo zuri na hupaswi kukata tamaa.Lakini Kwa Ushauri wangu nivyema Gharama za Muda na pesa basi tujikite kwenye Changamoto mama katika taifa letu
  11. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuacha biashara ya Bajaji, kuingia kwenye biashara ya kuuza kanga, madera na vijora minadani mikoani hasa mkoa wa mwanza?

    Ukiwa na mtaji na Formula za minadani lazima utoboe.Bajaji ntachelewa Sana.Biashara ni mbinu na Akili tuu
  12. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Nina miaka mitano sijala UGALI

    Naunga mkono hoja
  13. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Mashine nzuri ya kuchuja maji (Water filter.)

    Maji hayo yanatoka kisimani
  14. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Mashine nzuri ya kuchuja maji (Water filter.)

    Kwema wakuu...! Naomba kufahamishwa Mashine ndogo ya kuchuja maji safi Kwa matumizi ya kawaida nyumbani aina zake na Gharama zake NatanguIiza shukrani
Back
Top Bottom