"It is 6:15pm now... in recent days I have decided to continue speaking until my wisdom directs me otherwise. Mr Kikwete has been giving speeches in his rallies until 7:30pm. We have written to NEC four times about this, yet he has not been warned, fined or disqualified as a candidate as the law...
Slaa huwa anajidai eti Chadema hawakurupuki! Safari hii , pengine, si tu Slaa alikurupuka bali pia ameropoka!
Katika mawasiliano ya internet, ni lazima tujihadhari sana na habari tunazopokea. Ubaya wa kupashana habri kwa nji hii ya kisasa ni kwamba hakuna cha mhariri wa kuweza kupima chanzo na...
Somo la u-Raia: Katika Kuwajua Viongozi Wetu wa ki-Siasa.
Ni nani mwenye data za CV za hawa wagombea-wenza (u-Rais) na vyama vyao katika mabano?
Rashid Yusuph Mchenga (APPT-Maendeleo)
Mzee Said Mzee (CHADEMA)
Juma Haji Duni (CUF)
Omari Juma Ali (NCCR-Mageuzi)
Abdallah Othman Mgaza...
Rais wetu, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, ana "doctorates" mbili kutoka vyuo viwili tofauti!
Fungua hiyo "attachment".
Ni vyuo hivi vinavyoweza kutangua (to rescind) tuzo aliyopata.
Wote wawili (Kikwete na Slaa) wanafanana na Nyerere:
Wote ni binadamu!
Wote ni wanaume!
Wote wana watoto!
Wote ni wa-Tanzania!
Wote ni wanasiasa!
Wote wanatongozwa na wadhifa wa u-Rais!
What a question!
Sikatai kuwa mlipiga kura na kusahau hayo ya mazishi!
Lakini hiyo kura..external reliability yake ikoje? Je, tunaweza kuisambaza kwa Tanzania nzima na kutamati kuwa Slaa atashinda?
Hayo ya Dk Slaa na "nabii", pengine, yafuatayo yatafafanua (emphasis in italics is mine):
Dk. Slaa hashikiki
• WANACHAMA 48,000 wajitokeza kumdhamini Karatu
na Kulwa Karedia, Manyara
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, amepata...
From BBC (online) just 30 mintes ago:
Two US soldiers have been captured by Taliban insurgents in eastern Afghanistan, reports say.
An Afghan official says the two men were seized in Logar province after an exchange of fire with the militants on Friday.
A spokesman for the Nato-led force...
Wakati wa kubana matumizi: Wilaya na Mikoa mipya! Kujenga majumba ya serikali tena;! kukaribisha timu ya Brazil kwa dakika 90 na kulipa mamilioni! Na kadhalika kadhalika!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.