Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,717
Leo ktk CNN walikua wakiongelea ziara ya waziri mkuu wa uingereza huko USA. Jamaa alipakia treni kutoka washington hadi newyork ili kuonyesha kujali expenses in "his cash strapped country."
Kwa mantiki hio marais wote wa africa wakiwa mtoni ingebidi watembelee treni! No wonder jamaa wanabana usaidizi wao kwetu,ikiwezekana wazuie kabisa.
Kwa mantiki hio marais wote wa africa wakiwa mtoni ingebidi watembelee treni! No wonder jamaa wanabana usaidizi wao kwetu,ikiwezekana wazuie kabisa.