Huyu bwana mdogo anajiona anajua sana hip hip,yaani anajiona kama vile kazaliwa new york.anatakiwa ajue hip hop ni utamaduni wa waafrika waliopelekwa america kipindi cha slave trade,so katika kuhaha huku na huku baada ya kupoteza identity zao wakajikuta wanagundua hip hop,so we mtu wa tanzania...