Recent content by Gelion Kayombo

  1. Gelion Kayombo

    Nahitaji website kwa 100k

    Utapeli gani hapa umeuona?
  2. Gelion Kayombo

    Nahitaji website kwa 100k

    Akifuata ushauri wako ataishia kujilaumu bure na kula hasara. Website ni zaidi ya kutengeneza. Kuna kuhakikisha website unaweka SEO nzuri ili iwe kwenye rank za juu Google. Acha kupotosha watu
  3. Gelion Kayombo

    Nahitaji website kwa 100k

    Wewe ndiye mpuuzi. Wewe unadhani website za kutumia ready made themes na plugins? Hapa tunazungumzia website hasa.
  4. Gelion Kayombo

    Nahitaji website kwa 100k

    Website ndiyo ni dubwana la ajabu sana. Acha na website za kucustomize tu kwa kutumia WordPress au Wix. Nazungumzia website za kudevelop from the scratch wewe mwenyewe
  5. Gelion Kayombo

    Nahitaji website kwa 100k

    Ni kweli mkuu. Ila siyo rahisi kiasi hicho. Hiyo website unayosema wewe inategemea inakuwa na vitu gani.
  6. Gelion Kayombo

    Nahitaji website kwa 100k

    Siyo wezi mkuu. Hivi unajua maana ya website wewe? Wewe Google mtandaoni uone website ina gharimu shilingi ngapi. Milioni mbili ndogo sana kwa ajili ya kutengenezewa website nzuri.
  7. Gelion Kayombo

    Nahitaji website kwa 100k

    Anasikitisha sana huyu.
  8. Gelion Kayombo

    Nahitaji website kwa 100k

    Mkuu unadhani hiyo website ya $26 na domain ya 40k ni website nzuri? Acha kumpotosha mwenzako. Kama anataka website nzuri aandae zaidi ya 500k siyo chini ya hapo. Pia acha kucheza na taaluma za watu basi.
  9. Gelion Kayombo

    Nahitaji website kwa 100k

    Aina gani ya website unayotaka?
  10. Gelion Kayombo

    Upi Wakati Sahihi Wa Kufanya Mazoezi, Asubuhi Au Jioni?

    Kila mmoja na alivyo zoea. Ingawa asubuhi huwa naona kama ni wakati sahihi zaidi
  11. Gelion Kayombo

    Upi Wakati Sahihi Wa Kufanya Mazoezi, Asubuhi Au Jioni?

    Ni kweli mkuu. Hata mimi napenda kufanya mazoezi wakati wa asubuhi
  12. Gelion Kayombo

    Upi Wakati Sahihi Wa Kufanya Mazoezi, Asubuhi Au Jioni?

    Kwenye makala yetu ya leo tunaenda kujifunza na kujibu swali amabalo watu wengi hujiuliza upi ni wakati sahihi wa kufanya mazoezi kati ya asubuhi na jioni. Mara nyingi swali hili humjia mtu pindi anapoamua kuanza kufanya mazoezi ya mwili, sasa anakuwa anashindwa kuchagua wakati gani awe anafanya...
  13. Gelion Kayombo

    Mpaka sasa Umejifunza nini kuhusu Maisha?

    This has to be changed. You need to make a new paradigm shift concerning your attitude about this.
  14. Gelion Kayombo

    Mpaka sasa Umejifunza nini kuhusu Maisha?

    So you gonna carry the emotion of revenge in your mind forever?
  15. Gelion Kayombo

    Mpaka sasa Umejifunza nini kuhusu Maisha?

    @Unique Flower Love of itself has no revenge. So love those people who hurt you in the past
Back
Top Bottom