Recent content by Gek.com

  1. G

    YALIYOWAKUTA CHADEMA ARUSHA KATIKA VIDEO ona mateso ya polisi yasiyosababu

    Hv jamani hii hali yakuonewa na police hadi lini?
  2. G

    Napenda siku moja iwe hivi...

    Ningependa kama mitandao ya kijamii itumike kuchart mambo ya KIMUNGU NA KIMAENDELEO. Ningependa vijana wengi watanzania wa jishuhulishe na waache kutegemea serekali juu ya upatikanikaji wa ajira
  3. G

    CV ya Mheshimiwa Waziri wa Afya anayesubiri kujiuzuru hivi karibuni

    hapo umenena vema,hatakama cyo ya pinda nivema wananchi wawe wanajua cv za viongoz wao
  4. G

    Mgomo wa Madaktari hautaisha kwa vitisho na Dola; ni kwa Makubaliano tu!

    Jamii, Mbuge ni mtu yeyote ambaye hana hanafani yeyote, ila kwa swala la madaktari hawa sio watu wa ovyo ovyo lazima awe na UJUZI,So ina kuaje wabunge waongezewe mshahara na watu wanaoshika vinyes,mikojo ,damu na hata wanao jali afya zetu,hawaongezewi risk allawance na mambo mengne kama hayo.
  5. G

    source of fund.

    siku zote mficha magonjwa kifo humuumbua na kuuliza sio ujinga,hvyo uoga wako ndio umasikini wako.
  6. G

    Arumeru Mashariki Ndio Kampeni Zimeanza??

    chukua chako mapema,chelewa chelewa utakuta mwana sio wako,lazima panapo patikana nafasi lazima zitumike,lakini hii ni ishara yakuwa wanamajonz yakutokwa na mbunge wao,hvyo kupandisha pendera yaweza ikawa ni ishara ya kuomboleza,ila swali linakuja je bendera hzo ni nusu mlingot au zimepandishwa...
  7. G

    Ferooz....down to earth msanii mfano kwa wenzake

    dont juge the phone through hauzin
  8. G

    Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!

    kweli mengi yamenenwa na wadau ila tatizo kubwa la Tanzania nchi yetu ni system ya elimu tunayoitoa mashulen,mavyuoni haimjengi mtu kufanya mambo kaajili ya watu wote bali inampa uwezo wakuona mahitaji yake tuu,Chadm chukueni jukumu la kuwaanda watanzani kuwa watu watakao fanyamambo kwamanufaa...
  9. G

    source of fund.

    people wht a various source of fund available to small and micro-businesses operating in Tanzania.
Back
Top Bottom