Recent content by Geiglitz

  1. G

    Waziri Kangi Lugola saidia kukomesha kelele kwenye makazi ya watu

    Vijijini hali ndio mbaya sana. Watu wanashindana kukodisha miziki mikubwa ili sherehe ionekane imenoga. Mziki unapigwa kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 12 asubuhi. Leo nyumba hii kesho nyumba ile. Wiki, mwezi. Hakuna anayejali kwamba kuna wagonjwa hospitali, wagonjwa majumbani, watoto wa shule...
  2. G

    Wana Mabasi mazuri ila huduma mbaya sana sijapata kuona

    Lakini sio kwa Dar Lux. Uliza mtumishi wa Dar Lux analipwa mshahara shilingi ngapi? Wanayo mikataba ya kazi? Wanalipwa kila mwezi? Vipi stahiki zao za NSSF? Ukipata jibu rudi tena hapa JF.
  3. G

    Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji

    Mmmh nadhani hii sio kweli. Hebu tembelea tovuti ya AC au Arab Contractors uone ipoje...
  4. G

    Waziri Kigwangalla kama kweli wewe ni Mzalendo Jiuzulu. TTB wamekuvua nguo

    Mwenyekiti alikuwa Daniel Yona, baadae akajiuzulu akakaimu George Lebeleje
  5. G

    Saudi state-owned media warns Russia will exploit vacuum if US imposes sanctions

    Tusiombe vita baridi kati ya Urusi na Marekani itamalaki tena. Waathirika wakubwa watakuwa nchi za dunia ya tatu kama Tanzania.
  6. G

    Kufungiwa CCTV camera

    Duu mjomba technology ndio biashara yenyewe. Sasa tuweke technology hapa mtandaoni. Ila CCTV (closed circuit television video) zipo weka oda mpaka jumapili utaona streamed video katika android yako na utaweza kujua wateja wote watakao pata huduma katika saluni yako. Kama hakuna wateja pia...
  7. G

    Kufungiwa CCTV camera

    Ku gugo amazon na ebay haitoshi. Lazima upate maelezo ya fundi. Sio kama kununua redio tu halafu unafungua na kusikia muziki.
  8. G

    Kufungiwa CCTV camera

    Tuma sms 0754288733 utapata jibu
  9. G

    Je, ni watanzania wangapi wamepanda Mlima Kilimanjaro

    Ada ya kuingia Entrance Fee Tshs 10,000/= kila siku x siku angalau 5, camping fee Tshs 5,000/= kwa usiku, rescue fee Tshs 2,000/= kwa trip, Mpishi/porter Tshs 20,000 kwa siku na utahitaji angalau porters watatu na guide mmoja, chakula Tshs 30,000 kwa siku, nguo maalumu angalau Tshs 60,000 kwa...
  10. G

    Rais Magufuli amteua Prof. Isaya Jairo kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA)

    Mkuu wa Chuo cha Kodi cha TRA. Jamaa very calm, intelligent with excellent leadership skills. Nionavyo mimi uteuzi ni sawa kabisa.
  11. G

    Katika safari yangu, nilichokiona maeneo ya Pwani kinasikitisha

    Nadhani hufahamu kwamba utayarishaji wa mashamba kwa ukanda wa Pwani huanza mwezi Februari na mvua zinaanza mwezi Machi na kuishia katikati ya mwezi Juni. Ukanda wa bara utayarishaji wa mashamba huanza Octoba na mvua huanza mwezi wa Novemba. Ila vile vile ufahamu kwamba ukanda wa Pwani unapata...
  12. G

    Mabadiliko; Matokeo ya Usaili wa Mchujo PPF uliofanyika DUCE 28-Aug

    Unaita watu zaidi ya 400 kwa wakati mmoja kwenye usaili? Nini? Uwazi? Sidhani. Wataalamu wa Rasilimaliwatu mpo?
  13. G

    Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

    Watanzania wengi matajiri kazi tunazoona wanafanya sizo kazi halisi zinazowaletea kipato hicho cha utajiri
Back
Top Bottom