Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,549
- 34,877
Ukweli mtupuNimesoma mpaka nimesikitika, mkubwa hayo mataifa ambayo wewe unayaona kwa jicho la tatu kuwa warithi wa nafasi ya US hata hawana nguvu yoyote kifedha, kielimu, kiteknohama, kijeshi n.k.
Kwa mfano dollar iache kutumika kabisa na watu waanze kutumia Yuan haitamuathiri muamerika kabisa kivipi?
Muziki ni wake yeye.
Filamu ni zake yeye.
Computer na system zake zoote mpaka mitandao ya sim iliyoko popote duniani na sim zenyewe muamerica ndie major controller.
Ana backup ya kimungu wa Israel na mungu wao aliopo Pentagon.
Mjeruman aliikuwa mbabe wa dunia bila hata pesa yake kutumika popote, JESHI LA MAREKANI NI JESHI LA DUNIA HAJIVUNII DOLLAR KUTUMIKA DUNIANI KOTE ANAJIVUNIA STRONG ARMY.