Recent content by geesten66

  1. geesten66

    JamiiForums Tanzania Nahitaji 260,000k Tarehe 18 mwezi huu naombeni kazi au mchongo mpaka tarehe hiyo niwe nimepata hiyo hela

    Kwa nini nyinyi member wapya munaomba sana pesa jamii forum. Kwani mumeambiwa huku sehemu ya kutoa msaada
  2. geesten66

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Vipi Kuhusu bia na mapilau, kuku wa kukaanga, ndizi lost, majia ya afiya ya litar 1.6. Vili liwa au vilimwagwa
  3. geesten66

    JamiiForums Tanzania TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

    Kweli Tanzania bado tupo nyuma sana. Vyeti avifanyi kazi angalieni wachina wanavyo tafuta wafanya kazi. Kwenye kampuni zao
  4. geesten66

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa yangu ameambiwa atoe pesa apelekwe Oman au Dubai Kwa meli ya mizigo, safari itadumu Kwa wiki Moja tu kutokea zenji, je ni kweli?

    Labda kidogo Dubai anaweza toboa ata kwa asilimi 0.99 ila oman anakwenda kuolewa au kutolewa figo
  5. geesten66

    JamiiForums Tanzania Je, ni vipi mwananchi wa kawaida ananufaika na mawakili wa serikali?

    Wanatumikia pesa na watu wa serikali ya mafisadi ccm
  6. geesten66

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Nataka nikatalii nione na mimi nyumba za wageni za bei raisi zipo
  7. geesten66

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutatua changamoto ya Whatsapp yangu

    Angalia vizuri hazipo mbili kuna ya simu na iyo app ya kawaida
  8. geesten66

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutatua changamoto ya Whatsapp yangu

    Futa hide calculate kwenye simu yako ndiyo inasababisha
  9. geesten66

    JamiiForums Tanzania Bajeti: Kula milo mitatu sio lazima anza kujibana ondoa mlo mmoja kila siku save hiyo pesa

    Hizo pesa ukisha zipata utazifanyia Nini? Na uweke kiasi gani Hadi utakapoanza kula?
  10. geesten66

    JamiiForums Tanzania Deni la serikali limefikia tril 114 huku hakuna miradi mipya mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa. Maisha ya wananchi yanazidi kuwa hovyo

    Kuna majengo yanajengwa Dodoma Maeneo ya Njedengwa na magufuli city mtumba. Dar es salaam Maeneo ya kawe moroko kariakoo muhimbili
  11. geesten66

    JamiiForums Tanzania Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under home arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

    Na hawa polisi wanazunguka na mabunduki huku mitaani Kuna Nini huko serikalini kinaendelea
  12. geesten66

    JamiiForums Tanzania Unatafuta mume mwenye tabia njema au unatafuta mtu mwenye uwezo wa kugharamia mahitaji yako?

    Wanawake wa Tanzania wengi ombaomba. Wana tamaa sana. Ata awe na kazi nzuri.
  13. geesten66

    JamiiForums Tanzania Je, matatizo ya Mwanamke ni fursa kwa baadhi ya Wanaume?

    Kwa Nini na nyinyi munatumia kum@ yenu kitatua matatizo.
  14. geesten66

    JamiiForums Tanzania Madhila ya introvents

    Kuna wengine wakiwa nyumbani wakimya ila kazini wanaongea sana na marafiki zao wanatoa hoja mbalimbali je huyu ni nani
Back
Top Bottom