Recent content by GBM kwetu

  1. G

    Mahojiano na BBC: Huyu Dokta wa Muhimbili ni Bingwa kweli?

    Mkuu Melchio, kweli unaweza kuwa unamfahamu Dr. Juma Athuman Mfinanga, mie pia ninamfahamu. Amekuwa waziri wangu wa fedha pale chuo kwa muda mrefu. Ni mpenda uongozi na ni mchapa kazi mzuri tu. Ni mkuu wa kitengo cha huduma ya dharura pale MNH. Pamoja na yote ni mtu aliye dhaifu sana kujieleza...
  2. G

    Daftari la mpiga kura kalenga limefanyiwa marekebisho kimya kimya

    Kama kweli daftari la wapiga kura Kalenga limefanyiwa marekebisho, Je marekebisho hayo yamehusu kuondoa majina ya waliofariki tu? Vipi kuhusu kuandikishwa wapigaji kura wapya waliotimiza umri wa kupiga kura, ambao ni maelfu ikizingatiwa ni wengi waliotimiza umri huo toka maboresho ya mara ya...
  3. G

    Msaada wa scholarship za Russia.

    Wakuu habari za majukumu, ambaye anafahamu namna ya kupata scholarship za Russia kupitia hii kitu inayoitwa RACUS anipe details hasa kwa scholarship za Masters of MEDICINE/ DENTISTRY. Na guarantee ya kupata ikoje. Asanteni.
  4. G

    Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

    Neno wengi ni ralative sana,linaelewaka vizuri linapoelezwa in terms of ratios. Maadui aliojitengenezea Kagame ni wengi na anaendelea kuwatengeneza kila siku ikiwa ni pamoja na aliokuwa nao ndani ya kundi lake la waasi wa RPF. Wapo ndani na nje ya Serikali yake, ndani na nje ya nchi yake, ndani...
  5. G

    Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

    Hata akifanikiwa kumuua Generali Nyamwasa, bado Kagame hawezi kuwa salama kama anavyodhania, wanaopinga uongozi wake ni wengi sana na kamwe hawezi kuwamaliza kabla hawaja mmaliza yeye.
  6. G

    Msaada tutani kuhusu ukweli wa Kampuni ya Telexfree

    Kwa nini wewe binafsi unai-diss hii bussiness kaka nipe maelezo kamili kwa nini nisijiunge nayo kabisa, maana umesisitiza kuwa niweke mbali na watoto kabisa.
  7. G

    Msaada tutani kuhusu ukweli wa Kampuni ya Telexfree

    Nieleweshe mkuu na unipatie vielelezo ni kwa jinsi gani hii biashara ni genuine na kama unaifanya umenufaikaje?. Ninauliza kwa nia njema kabisa.
  8. G

    Wizi wa Savings Account

    Umamaliza kila kitu mkuu. Hongera sana kwa maelezo fasaha.
  9. G

    Msaada tutani kuhusu ukweli wa Kampuni ya Telexfree

    Wakuu, nimekuwa nikishawishiwa na baadhi ya rafiki zangu kujiunga na biashara ama shughuri zinazohusiana na kampuni ya telexfree. Nimekuwa nikipewa maelezo yanayo onyesha dhahiri mafanikio makubwa ya kipato baada ya kujiunga na kaampuni hiyo yenye shughuri kupitia mtandao wa internet. Mimi ni...
  10. G

    Itv na eatv kuanza kuonekana azam tv

    Msaada kwa tuliopo mikoani, bei ya kingamuzi cha Azam ni kiasi gani, na malipo kwa mweiz ni kiasi gani na malipo ya mwezi yanapo expire ni channel gaani zinazobaki zinaonekana, Kwa ujumla wake channel zipi za kibongo zinazo onekana, Samahani wadau kwa maswali mengi.Naombeni mnieleweshe maana...
  11. G

    Ikulu Yakana Kupokea Maombi ya Kuongezewa Posho wabunge wa Bunge la Katiba

    Hapa bado tumechezewa akili zetu kabisa, maana yake ni kwamba kama siku isiyo na kikao cha bunge la katiba walipokea Tsh 80,000/= mfano Jumamosi na Jumapili au public holiday yoyote, basi kwa mabadiliko hayo watakuwa wanapokea Tsh 220,000/=. Maana yake kwa siku za mapumziko wamepata nyongeza ya...
  12. G

    Tanzania Commercial Banks Salary Scale

    Ni stanbic bank..
  13. G

    Tanzania Commercial Banks Salary Scale

    Hiyo ni Stanbic bank..
  14. G

    Dr. Wilbrod Peter Slaa ni mwaasiasa hasa

    Well narrated, viva Dr. Slaa(PhD).
Back
Top Bottom