Recent content by gaurio

  1. gaurio

    Mwigulu, huu ni uzembe mwingine wa jeshi la polisi

    Uwe unapost kitu nakuandika walau ukweli na sio kujaza nyongo kwenye vifua vya watu juu ya jeshi la police na kutangaza vifo mahali ambapo hamna kifo. Jifunze kutoa habari jinsi ilivyo.
  2. gaurio

    Kufungwa kwa Vituo Vidogo vya Polisi Saa 12 jioni, Nani ana jukumu la kuwalinda Raia?

    Mmeshangilia sana wakati wanachinjwa kwa mapanga. Sasa muda umefika wakufuata utaratibu. Nawaunga mkono soja vya mwisho saa 12 vifungwe vyote.
  3. gaurio

    Je, ni kosa kumpiga picha askari polisi aliyekuwa yupo kazini?

    Inategemea wewe ni nani na mazingira yapi. Si wewe uko kwenye basi na kasimu kako ka mchina ukamuona askari ukampiga picha aise utachezea nyavu bt kwa ndugu zangu wana habari kama mazingira yanawaruhusu wanaweza piga picha.
  4. gaurio

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Duh hiyo skul mpya nini nimekaa hapo sana ila ilo jina duh. Iko kijiji gani hiyo.
  5. gaurio

    Kufungwa kwa Vituo Vidogo vya Polisi Saa 12 jioni, Nani ana jukumu la kuwalinda Raia?

    funga kamanda mpaka wajue au watakapoona umuhimu wa askari.
  6. gaurio

    Amboni Tanga: Askari Polisi, JWTZ wapambana na majambazi wenye silaha nzito za moto

    inanisikitisha sana watu kushangilia kifo cha askari ili hali hamuishi kuwaomba msaada katika utendaji wa kila siku.
  7. gaurio

    Mbatia kamwe hachomoi Vunjo, labda Mmanga wa CCM asiwepo

    mwanzo huwa mna maneno matamu sana.
  8. gaurio

    Mimi ni Polisi: Kisa cha mke wa Waziri

    utamu umekata. rudi moja kumalizia.
  9. gaurio

    Kwa anayewafahamu wanawake wa kimakonde

    Kama unataka kuoa oa. Mi niko nao huku ntwara mhh majanga.
  10. gaurio

    Mafunzo ya polisi kama ndo haya nimeshindwa

    pole kwa kukimbia kozi umayai wako ulikuponza . Yale matusi yanamjengea askar mazoea ili hata atakapotukanwa na raia aone kawaida tuu. Gwara kwa wana wote waliopita pale wakamaliza now wanakula cha kati na cha mwisho.
  11. gaurio

    Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

    Soja ungesambaratisha ubongo wa huyo kenge.
  12. gaurio

    Wanaompinga Kikwete wakamatwa, Kikundi hicho kinaishi Msituni Tanga, Wamo Watumishi wa Serikali

    Walishasema nchi haitatawalika ndo tunakoelekea huko.
  13. gaurio

    ISP Daudi kaletwa na helcopter ya polisi muda huu kutoka Kigoma kwa tuhuma za bomu Arusha

    huyo insp anafanya kazi kigoma au arusha?
Back
Top Bottom