Maagizo yoyote atuayo president huwa ni Amri kifuatacho ni utekelezaji so huo utani ambao Nape anazungumzia upo wapi? , binafsi naona kama huyo Nape anajipendekeza kwa mkuu hili amfikirie kanafasi. na tangu lini Nape akawa msemaji wa president?
Unajua viongozi wetu nao wanachangia matatizo pale kamanda mambo sasa huyo wa kanda maalum anapotoa pole kwa wananchi waishio ukonga mombasa kwa kile kinachodaiwa kupigwa na watu wanaosadikika kuwa ni polisi na kusema wale siyo polisi ni wahuni tu,je a natarajia nini kwa kauli yake hii kwa raia...
Broo hapo twapigwa changa la macho ishu siyo kweli kuwa wametumwa askari toka makao makuu, ni Amri tu iliyotolewa na mkuu wa FFU kuwa kazi muliyofanya ni mzuri , inatosha kilichotoka makao makuu ni tume tu kuja kuchunguza mazingira ya tukio. Acheni hizo tunapigwa kama sisi siyo raia wa nchi hii...
Kumbe mkuu upo kishabiki zaidi badala ya ukweli wa mambo, ndiyo kusema unavizia nafasi ya kuwa msemaji wa klabu ya simba kuchukua nafasi ya Manara, anayetakiwa kuachia nafasi kutokana maiki atumiazo kuwa na madini ambayo ni hatari kwa watu wenye vimelea vya albinos. Athari zake ni kuzeeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.