shinji majige
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 560
- 214
Shidah sio kukaa kwenye ac shidah ni moja tu ELIMU YAKE NDIO IMEMFANYA AKAE HAPO C UNAONA HATA (V) yenyewe hana?
Mpiga chapa wa bwanajelaUnafikiri huyu mdada atapangiwa kazi gani pale kazini? Nawakilisha
tutampa ukuu wa mkoa si anajua kusoma na kuandika???Shidah sio kukaa kwenye ac shidah ni moja tu ELIMU YAKE NDIO IMEMFANYA AKAE HAPO C UNAONA HATA (V) yenyewe hana?
HeheheMtoto mrembo sana huyu. Nani ana communication skills zake anipasie ?
Sure?Aisee huyu Dada namfahamu in shemeji yangu
Jamani mbona niliwakataza kuwapa malaika kazi ngumu, alah!
Itapendeza zaidNadhani 900 itapendeza
Huwez jua huko aliko kuna a.c ya asiliMbona anajitesa na hayo magwanda,Huyu anatakiwa kukaa kwenye ac tu
Nimeeelewa mkuiHapo umeelewa
Mkuu donclucchese naona umeamua kututesa, tumevaa modo sahv! Tutashindwa kutembea barabarani
Ili iwejenaomba utoe hiyo picha
Hakika anazo sifa zote za kuwa mke wa bossDah wee Mfukunyuku saana. Huyu dada namfahamu mme waake ni Boss wetu
Kumbe wewe ndie mume wake....naomba utoe hiyo picha
Yah sure namfahamu vizuri sanaSure?