Lingine za ziada, ukitazama ramani kwa haraka haraka, common sense inakuonyesha kuwa ili uende Bara la Marekani mfano kutokea DUbai, ni heri ungechanja mbuga, upasue Afrika (Misri, Sudan, Jangwa la Sahara nk) kisha uingie zako baharini mpaka unafika kwa wakubwa huko. Swali, kwanini mfano kutokea...