mzee Msuya alikuwa PM alichokifanya ni kusambaza umeme na lami vijijini huko Kilimanjaro wakati miji mikubwa inavumbi na giza. sehemu inalimwa ndizi tu imepelekewa umeme na lami lakini mikoa inayolima korosho na pamba mazao ya haina lami wala umeme sio vijijini wala mjini. hawa jamaa hawafai kabisa
kama hujuwi kaa kimya subiri uzi wa level zako, headmaster wa shule yoyote lazima ajuwe procedure za uhamisho we unang'ang'ana na anakosoma mwanangu tu
Assalam Aleykum wakuu, mwanangu nataka kumhamisha shule ya sekondari ya serikali toka Mkoa mmoja kwenda mwingine hivyo naomba mwongozo nianze na nini au wapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.