Ted alikuwa mtu wa watu,mcheshi,jasiri,mwanamichezo,alicheza na kupenda sana mpira wa miguu.
Wengi tulimfahamu na kumchukulia kama kaka shuleni.Binafsi,alikuwa vidato vitatu mbele yangu ngazi ya O-level huko Kantalamba Sec school.
Rest easy Ted.
Zamani ada na michango mingine ilikuwa ikilipwa shuleni kwenye ofisi ya bursor na inawezekana ikahifadhiwa hapo kabla ya kupelekwa bank kesho yake.
Jamaa walivamia kwa lengo ya kuiba hizo pesa.
5. "Matumizi Mabaya ya Madaraka: Baadhi ya viongozi kimakosa hujigeuza kuwa walinzi wa lango, wakiwakataa watu masikini au kuwapa huduma ya kiwango cha chini (kama vile kumtuma katekista badala ya Padre) kwa sababu tu marehemu hakuwa hai kiroho, ilhali sheria hizo hizo ngumu mara nyingi hupuuzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.