Recent content by Garma99

  1. G

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Ted alikuwa mtu wa watu,mcheshi,jasiri,mwanamichezo,alicheza na kupenda sana mpira wa miguu. Wengi tulimfahamu na kumchukulia kama kaka shuleni.Binafsi,alikuwa vidato vitatu mbele yangu ngazi ya O-level huko Kantalamba Sec school. Rest easy Ted.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Zamani ada na michango mingine ilikuwa ikilipwa shuleni kwenye ofisi ya bursor na inawezekana ikahifadhiwa hapo kabla ya kupelekwa bank kesho yake. Jamaa walivamia kwa lengo ya kuiba hizo pesa.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    🤣🤣
  4. G

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    Joanah ni muendesha farasi😊
  5. G

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    🤣
  6. G

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    😆😆
  7. G

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Msemo wa waingereza, "The nearer the church,the farther from God."
  8. G

    JamiiForums Tanzania Kwa wakatoliki huku parokiani kwetu ukiwa hujafunga ndoa ama wewe ni single mother/ baba ukifa hauzikwi na hata watoto wako hawabatizwi tena!

    5. "Matumizi Mabaya ya Madaraka: Baadhi ya viongozi kimakosa hujigeuza kuwa walinzi wa lango, wakiwakataa watu masikini au kuwapa huduma ya kiwango cha chini (kama vile kumtuma katekista badala ya Padre) kwa sababu tu marehemu hakuwa hai kiroho, ilhali sheria hizo hizo ngumu mara nyingi hupuuzwa...
  9. G

    JamiiForums Tanzania Best kolabo yako ni ipi hapa

    Jani,maakuli,tizi,mma,mikito.😀
  10. G

    JamiiForums Tanzania Je, nihame kwa wazee kwa kufuata maneno ya jamii au nibaki kwa kuwasikiliza wazee?

    Kaa hiyo nyumba nyingine ya pili. Huu ni ushauri,ukitaka kujua sababu nyuma yake,sema.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Wanajamii forums mnaringaa sana siku hizi mmeona nini??

    😄
  12. G

    JamiiForums Tanzania Unapozomewa ni tafsiri watu hawakuheshimu kama unavyofikiria. Hawakuonei haya

    heshima haiondoki..kwasababu haijawahi kuwepo.
  13. G

    JamiiForums Tanzania Wanawake jifunzeni kutunza siri, mnatuharibia sana. Saahizi ndoa yangu ipo matatani kuvunjika

    Hapo ni kiboko. Kama nawaona wazee wakinong'onezana baada ya kuvurugwa.😄😄
  14. G

    JamiiForums Tanzania Wife huwa haniachii msosi wa usiku

    😆😆
Back
Top Bottom