Daaaah hilo ni ombi zito sana mkuu....
Yaani jinsi nilivyokuwa nikimwombea huyu Ndugai wakati amezidiwa....
Anyway sometimes tuwe na huruma hata kwa familia yake tu....tuzidi kumwombea afya yake iimarike...
Daaah Rest In Eternal Peace Kitwana Kondo...Nakukumbuka kwa ule usemi wako maarufu bungeni kwamba"hata chini ya bahari Ngisi huwa anamnong'oneza Pweza kwamba hapa tunatafutwa sisi"
Enzi akiwa Mayor wa Dar...Rais alikuwa Mwinyi na Mkuu wa mkoa alikuwa Ditopile huku Diria na Kighoma Malima wakiwa...
Mmmmh yaani kuna watu wanavyo comment humu utafikiri walikufa...wakazikwa na sasa wamefufuka....
Unaanza vipi kupaka rangi upepo kwa kumtetea RC kwa uvamizi wa kipumbavu alioufanya clouds?? Yaani mijitu inaleta ushabiki kwenye kila kitu...Najaribu kuvuta picha tu ya taifa la Tanzania...
Hilo suala la kuangalia wote wanatoka jimbo moja na wote wana imani moja ni uhuni kutamkwa na Kiti cha spika...Kwani Job na Tulia wana imani tofauti?? Ifike sehemu tusimulike vitu ambavyo watanzania hawavitaki wala kuwa na mpango navyo...
Mimi ni muumini mkubwa wa performance kuliko gender equality na ndio maana huwa namuelewa sana hata Magufuli anavyojali zaidi ufanisi kuliko usawa wa jinsia kwani wote tulishuhudia mapungufu makubwa ya kiutendaji enzi za kina Hawa Ghasia na Sophia Simba ambao nadhani walipata uwaziri kwa sababu...
Tanzania kama taifa tumeshafika ktk pointi mbaya sana....tunazingatia ushabiki kila mahali pasipo hata soni...linapokuja suala la kutetea au kupigania maslahi ya taifa, mataifa yote duniani raia wake huungana na kuwa na common view/stand...
Hapa kwetu ni tofauti sana yaani kama tumerogwa si...
Kwani hizo nafasi sita ccm imezipataje?? Na sio utaratibu huohuo utatumika kupata wawakilishi wa EALA Kwa vyama vingine vyenye idadi kubwa ya wabunge bungeni kama CDM na CUF...??
Yaani chama chenye mwakilishi mmoja bungeni kikazoe viti vya uwakilishi wa EALA??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.