Mimi naona wako sawa tu kwa sababu zifuatazo.
1.Hiyo ni kama motisha kwa shule zilizofanya vizuri,pia na shule zilizo kwenye kumi mbovu ni kama adhabu kwao,inasaidia kuja na mbinu mbadala kama vile makambi ya madarasa ya mitihani ,hiyo inachangia kufanya vizuri.
2.Usimamizi ,ulinzi na usalama wa...
Ukuu wa mwafrika.
Dhana ya kuchanganya udongo nchi mbili zikazaa jamhuri moja ya muungano ni zaidi ya udongo,na Mara baada ya kutangazwa kwamba Tanganyika iko huru 1961 mwenge ukapandishwa kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro.
=> ulete upendo palipo na chuki.
=>uwe chachu ya haki kwenye...
Kiongozi anadhihirika katika ufanyaji wa maamuzi na kupanga mikakati kuhusu kundi analoliongoza,kiongozi wetu kaamua na anamatarajio katika maamuzi yake, ikumbukwe pia katika maamuzi huwezi kupatia nyakati zote.
Kwa watalamu wa kemia watakumbuka displacement reaction............
The most...
Well,that is what referred as prophetic intelligence.
According to our constitution, each person has freedom to give opinion I,and this proves on variation in thoughts, the thought/opinion of majority is regarded as the best opinion and it must be followed ,but those with different views as...
Kuibiwa ni hali ya mtu kuchukua Mali ya mwingine bila idhini yake lakini kuibwa ni mtu moja kumchukua mwingine kwa nia ya kumteka.
Kutoweka ni hali ya kitu au mtu kutokuonekana bila taarifa yoyote.
Wenye akili kubwa tulielewa hekima aliyoitumia askofu Gwaj:Dima lakini pia alionesha kuimudu vyema sayansi ya siasa mbele ya mkulu.Ila wananchi walimjibia vyema naye akawa anafurahi wananchi kumuelewa vilivyo.
Kifanywacho na mamlaka kumhusu gwajima ndicho kilitakuwa kifanyike kwa raia wote ,maana kwa mjibu ya katiba yetu,wanao Uhuru wa kutoa maoni,kutafuta habari na kutoa maoni.Na kama selikali iliyoko ni selikali yavwatu iliyowekwa na watu,basi hoja siyo kupigwa wala kuswekwa rumande,hao wenye...
Hongera kwa fikira zenye uhai,ukiwa hai na afya mujaarabu ya ubongo kuwaza hakukwepeki.
• Kuhusu kwamba saivi tuko mbinguni kwa jinsi nionavyo Mimi siyo kweli kwa sababu zifuatazo.....
1.Mbinguni kuna mwenye enzi ambaye ndiye Mungu, lakini saivi tuko katika ongozi na tawala mbalimbali za dunia...
Waoga na w
Waoga na wenye kujinyekeza kwa watawala kwaajili ya matumbo yao hukumu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto.
=> Tukipata watu hata elfu moja wenye kujielewa na kusimamia imani yao nzuri kwa ustawi wa taiga letu,hakika mama Tanzania atakuwa mbele mno kimaendeleo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.