Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Gazeti la mwananchi toleo la leo limeripoti upotevu wa dhahabu ya bei kubwa hivyo kupelekea vigogo kadhaa wa madini kuingia matatani.
My take.
Enzi za kuzaliwa kwa mabilionea wa madini kama akini Laizer ndiyo zimefikia mwisho? Au kazi iliyofanywa na Lisu kwa miaka 6 (tutashitakiwa MIGA) Imeanza? Kwa hiyo huko aliko Lisu sasa hivi meno yote nje kwa furaha?
My take.
Enzi za kuzaliwa kwa mabilionea wa madini kama akini Laizer ndiyo zimefikia mwisho? Au kazi iliyofanywa na Lisu kwa miaka 6 (tutashitakiwa MIGA) Imeanza? Kwa hiyo huko aliko Lisu sasa hivi meno yote nje kwa furaha?