Mabadiliko ni Muhimu sana. Tufanye wenyewe kama mtu na mtu au serikali kwetu au taasisisi cha umuhimu ni mabadiliko.
Tunashindana kupata stories bora ambazo zitaleta maendeleo chanya. Natamani kuona mawazo ya Wa Tanzania wenzangu ya kiuchumi na tuangalie namna gani kwa pamoja tunaweza...
Zaidi ya 70% ya WaTanzania wanaishi vijijini ambako kuna maeneo mengi yenye rutuba za kuwawezesha kulima hivyo kupelekea waTanzania wengi wa kipato cha chini na kati kujikita katika shughuli za kilimo kwenye maeneo/mashamba yao huko vijijini.
Kilimo kinalipa.
Ukiangalia kinatoa bidhaa...
TANZANIA TUITAKAYO 💪🏽.
Tanzania ya VIJANA wenye uelewa wa shughuli KUU za kiuchumi zilizo katika maeneo yao wanayoishi au kuzaliwa ambazo zina wawezesha kujiajiri au kuajiriwa katika makampuni au taasisi zilizopo kutokana na mazingira yanayo wazunguka kama bandari, kilimo, uvuvi, madini...
Natafuta anaetoa huduma ya bulk sms with fair price anicheki asap, especially mwenye database ya contractors, mafundi dar es salaam na mikoani. Urgent - Thanks
Tunapatikana Boko Beach - Tumeamua kuwaletea Art watoto wa mtaani pia photo shoot ya kibabe kila mtu afurahi na family - Zawadi yetu kwa jamii hii #BoxingDay - vitu flani kwa uswahilini hakuna mpaka uende Mlimani city - kwanini na wao wasienjoi #NoInclusion So hebu tu join leo tutakuepo na mwaka...
Mambo vp, mnajua kuwa hii michezo ya kamali ukitoa za mpira wa miguu ni feki balaa... Nasema feki kwasababu moja kuu kwamba hii michezo mshindi anachaguliwa ofisini yani wanaamua leo tumpe flani wengine ufata majina ya ukoo n.k ni system na mara nyingi huchagua washindi wakishafikisha pesa yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.