Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,228
MtalaamSiku ya 11 hadi 14 baada ya hedhi ndio siku ya kupata ujauzito, yaani unahesabu kuanzia siku ya kwanza uliyoingia mp.
MtalaamSiku ya 11 hadi 14 baada ya hedhi ndio siku ya kupata ujauzito, yaani unahesabu kuanzia siku ya kwanza uliyoingia mp.
Katika ubora wanguMtalaam
Mqmbie mzee alaze kisu kwny ala mfululizoMara ya kwanza nilishtuka tu kitumbo sikuwa na hesabu.
Mada zako hiziKatika ubora wangu
Pia wakati wa mgegedo, mzee akishamwaga asitoke haraka, asubirie dk kadhaa wale virus wafike mbaliMqmbie mzee alaze kisu kwny ala mfululizo
Si ndio, na mimi niko kwny mchakatoMada zako hizi
Hongera sanaSi ndio, na mimi niko kwny mchakato
Kama dakika ngapi?Pia wakati wa mgegedo, mzee akishamwaga asitoke haraka, asubirie dk kadhaa wale virus wafike mbali
Tano mpaka kumiKama dakika ngapi?
Siku nyingine huwa unatoa haraka?Tano mpaka kumi
Si mnakuwa na haraka kama mnaoga nje wakati msosi wako badala ule polepole we unapaparika kama unakimbizwaSiku nyingine huwa unatoa haraka?
MhSi mnakuwa na haraka kama mnaoga nje wakati msosi wako badala ule polepole we unapaparika kama unakimbizwa
Hahahaaaaaa haya nitamwambia.Mqmbie mzee alaze kisu kwny ala mfululizo
AsanteMi natumia chati hiyo na mke wangu.
Sema inakuwa imeisha sio kukauka uke ukikauka wew unashidaLeo Ndio namalizia Mkuu nilianza jumatatu Leo zinaishia ishia mpk kesho patakuwa pamekauka
ImeishaSema inakuwa imeisha sio kukauka uke ukikauka wew unashida