Mi nilidhan ntapata mke humu,kwa kuwa nipo serious hvyo niliwasiliana na mdada mmoja alieweka bandiko hapa kuwa anatafuta mchumba,nikaweka mtego kujua uaminifu na lengo lake hasa ni nin?,hvyo nikawa nawasiliana kwa namba 4 tofauti za simu nikijifanya ni watu tofauti..tukapanga tukutane kwa namba...
Hvi wewe c ndo ulisema una mchumba mwenye K kubwaaa mpaka hupati raha?,imekuaje tena kwa mambo hayo ya puchu?. pls if u dont mind 2julishe umri wako kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.