nafasi za kazi OPPORTTUNITY TANZANIA LIMITED

nafasi za kazi OPPORTTUNITY TANZANIA LIMITED

maimatha

Senior Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
129
Reaction score
162
habari zenu wana JF kuna nafasi za kazi zimetangazwa Opportunity Tanzania Limited(OTL), arusha wemetangaza nafasi za afisa mikopo, sifa )
1Accauntacy nafasi 3

diploma ya accauntacy

2)Afisa mikopo nafasi 14,
sifa za amwombaji
- awe na elimu ya form four na kuendelea
- awe na lugha nzuri kwa watu
mwenye ujuzi na computer atapewa kipaumbele
maombi yote yatumwe kwa email.

ofisi zipo jengi la summit center mkabala na shoprite.
maombi yatumwe kwa vailymo@yahoo.com meneja. mwisho wa kutuma maombi ni 15/3
jaman mimi sio mhusika nimekopy na kupest
 
habari zenu wana JF kuna nafasi za kazi zimetangazwa Opportunity Tanzania Limited(OTL), arusha wemetangaza nafasi za afisa mikopo, sifa )
1
Accauntacy nafasi 3
diploma ya accauntacy

2)Afisa mikopo nafasi 14,
sifa za amwombaji
- awe na elimu ya form four na kuendelea
- awe na lugha nzuri kwa watu
mwenye ujuzi na computer atapewa kipaumbele
maombi yote yatumwe kwa email.

ofisi zipo jengi la summit center mkabala na shoprite.
maombi yatumwe kwa vailymo@yahoo.com meneja. mwisho wa kutuma maombi ni 15/3
jaman mimi sio mhusika nimekopy na kupest

Hata kama
 
Nadhani wakati ana copy hakusoma kabisa.
Pia utata Arusha halafu maombi yatumwe Dar.
 
kukopy na kupest lol,ndalichako ndalichako
 
Wasalaam,
HUU NI UZUSHI!!!!
HAWAJATANGAZA NAFASI ZA KAZI NA HATA WAKITANGAZA MFUMO WAO UPO TOFAUTI NA ALIYEWEKA HII POST..

Maombi ya kazi huwa yanatumwa kwa applications@opportunity.co.tz au barua kwenye SLP 80244 DSM.

Ninayaandika haya nikiwa na taarifa rasmi kutoka ofisi hiyo yenye makao makuu DSM na matawi ARUSHA na MOSHI. Nilibahatika kuwafahamu vizuri hawa jamaa baada ya kufanya nao biashara fulani na ninamawasiliano na uongozi wa juu wa Shirika hili.

CHUNGA MATAPELI

Ukiwa na maswali zaidi unaweza kuni PM
 
ebu acheni wizi, mtalaanika
Wasalaam,
HUU NI UZUSHI!!!!
HAWAJATANGAZA NAFASI ZA KAZI NA HATA WAKITANGAZA MFUMO WAO UPO TOFAUTI NA ALIYEWEKA HII POST..

Maombi ya kazi huwa yanatumwa kwa applications@opportunity.co.tz au barua kwenye SLP 80244 DSM.

Ninayaandika haya nikiwa na taarifa rasmi kutoka ofisi hiyo yenye makao makuu DSM na matawi ARUSHA na MOSHI. Nilibahatika kuwafahamu vizuri hawa jamaa baada ya kufanya nao biashara fulani na ninamawasiliano na uongozi wa juu wa Shirika hili.

CHUNGA MATAPELI

Ukiwa na maswali zaidi unaweza kuni PM
 
Maombi yanatumwa headquater au kwenye matawi mana mnatuchanganya nyie Jf
 
Kama ni kweli please nitumie e mail yao nitume application

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
usipoambiwa tuma 30,000/= ya interview nitukane....mjini bhana hakuna shamba huku yaani kichwa chako ndo shamba lako chunga sana
 
Wasalaam,
HUU NI UZUSHI!!!!
HAWAJATANGAZA NAFASI ZA KAZI NA HATA WAKITANGAZA MFUMO WAO UPO TOFAUTI NA ALIYEWEKA HII POST..

Maombi ya kazi huwa yanatumwa kwa applications@opportunity.co.tz au barua kwenye SLP 80244 DSM.

Ninayaandika haya nikiwa na taarifa rasmi kutoka ofisi hiyo yenye makao makuu DSM na matawi ARUSHA na MOSHI. Nilibahatika kuwafahamu vizuri hawa jamaa baada ya kufanya nao biashara fulani na ninamawasiliano na uongozi wa juu wa Shirika hili.

CHUNGA MATAPELI

Ukiwa na maswali zaidi unaweza kuni PM

mbona mihangaiko.com wametoa tangazo hilo na email hyo hyo
 
kama vipi watupie matangazo yao kwenye magazeti...kweli tunataka kazi ila matapeli wanavuruga malengo na nia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom