Sorry inaweza kuwa kweli kwamba wapo watu wa nje wanaweza kutaka nchi iharibike, lakini mara zote watatumia weakness za ndani kutuingilia, cha kwanza kabisa ni kujitathmini ikiwa upo udhaifu wa ndsni ambao unawavutia maadui wa nje kutaka kutuvuruga.
Ndio kuhubiri neno ni biashara ya Mungu na inandeshwa kwa gharama inayoitwa sadaka, kwa hiyo kama Mwamposa kapewa uhalali (upako) hakuna kosa anafanya anachotakiwa ni ku invest back in the business na ukiona kama huitaji basi wewe sio mteja, ila wateja wapo na akuna anayelazimishwa kutoa kama...
Wanawake baadhi kwenye ndoa wako mguu mmoja ndani mwingine nje, kuwa makini usije siku ukalazimika kulipa madeni makubwa ambayo hutajua pesa zimetumikaje.
Kwa hiyo unataka wakristo wastuck back in time kama dini nyingine , Kristo hakuelekeza hayo ya kuvaa kanza maana injini ilikua kwa ajili ya matifa yote na sio Midle east pekee.
Hi labia wanayo wanawake wengi sana, na na ukimchunguza hapo atakua lazima ana mikopo ile ya vikundi aka. kaushadamu, jaribu kuongeza pocket money yake na usiweke cash nyumbani, hii labia inaweza kwenda mbali hata kuchukua vitu nyumbani kama vyakula.
Viongozi huwekwa na Mungu illi wawaongoze watu wake katika mema, ila Viongozi wakikeungeuka kuwacha raia Mungu huwakataa pia, kitu cha enzi cha utawalawa kunasimama tu pale panapokua na haki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.