NAAMINI BADO REFINARY ITAJENGWA TANZANIA.
SABABU
1. UWEPO WA EACOP.
2. UPATIKANAJI RAISI WA ARTHI.
3.BANDARI YA TANGA.
IKIJENGWA MOMBASA.
CRUDE ITATOTOKA WAPI?
JE LITAJENGWA BOMBA JIPYA KUTOKA UGANDA?
NAAMNINI HAPA WANACHEZA MCHEZO ILI WAPATE MASHARTI NAFUU...
Sorry inaweza kuwa kweli kwamba wapo watu wa nje wanaweza kutaka nchi iharibike, lakini mara zote watatumia weakness za ndani kutuingilia, cha kwanza kabisa ni kujitathmini ikiwa upo udhaifu wa ndsni ambao unawavutia maadui wa nje kutaka kutuvuruga.
Ndio kuhubiri neno ni biashara ya Mungu na inandeshwa kwa gharama inayoitwa sadaka, kwa hiyo kama Mwamposa kapewa uhalali (upako) hakuna kosa anafanya anachotakiwa ni ku invest back in the business na ukiona kama huitaji basi wewe sio mteja, ila wateja wapo na akuna anayelazimishwa kutoa kama...
Wanawake baadhi kwenye ndoa wako mguu mmoja ndani mwingine nje, kuwa makini usije siku ukalazimika kulipa madeni makubwa ambayo hutajua pesa zimetumikaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.