Recent content by gambagumu

  1. G

    JWTZ nako kunahitajika reforms

    Usitegemee jeshi lijiingize kwenye mambo ya uchaguzi, jeshi kazi yake ni ulinzi.
  2. G

    Kwa macho ya kawaida utaona ni haki inagombaniwa, ila kwa taarifa za uhakika kinachopikwa ni Tanzania kuwa Congo ya pili

    Sorry inaweza kuwa kweli kwamba wapo watu wa nje wanaweza kutaka nchi iharibike, lakini mara zote watatumia weakness za ndani kutuingilia, cha kwanza kabisa ni kujitathmini ikiwa upo udhaifu wa ndsni ambao unawavutia maadui wa nje kutaka kutuvuruga.
  3. G

    Me niko Poland, we uko wapi?

    Nimepaa kama umeme hadi Marekani, uzuri nina green card
  4. G

    Mwamposa ni mfanyabiashara kupitia kanisa lake na wala sio mtume kama wengine wanavyofahamu

    Ndio kuhubiri neno ni biashara ya Mungu na inandeshwa kwa gharama inayoitwa sadaka, kwa hiyo kama Mwamposa kapewa uhalali (upako) hakuna kosa anafanya anachotakiwa ni ku invest back in the business na ukiona kama huitaji basi wewe sio mteja, ila wateja wapo na akuna anayelazimishwa kutoa kama...
  5. G

    Nimemkataza mke wangu kwenda kwenye Marathon

    Take some things positive unaweza ukamjoin.
  6. G

    Naombeni Msaada Niweze kuacha Kamari ya Aviator, Maisha yangu hayaendi vizuri, Kamari hii Inataka kunitoa Roho

    Mkuu hebu ukiwa na hela katoe sadaka halafu kwa watoto yatima, halafu Muombe Mungu
  7. G

    Mke wangu ana tabia za wizi na udokozi

    Wanawake baadhi kwenye ndoa wako mguu mmoja ndani mwingine nje, kuwa makini usije siku ukalazimika kulipa madeni makubwa ambayo hutajua pesa zimetumikaje.
  8. G

    Kwanini Wakristo hawavai kanzu nyeupe saa ya kusali kama Yesu alivyofanya?

    Kwa hiyo unataka wakristo wastuck back in time kama dini nyingine , Kristo hakuelekeza hayo ya kuvaa kanza maana injini ilikua kwa ajili ya matifa yote na sio Midle east pekee.
  9. G

    Mke wangu ana tabia za wizi na udokozi

    Hi labia wanayo wanawake wengi sana, na na ukimchunguza hapo atakua lazima ana mikopo ile ya vikundi aka. kaushadamu, jaribu kuongeza pocket money yake na usiweke cash nyumbani, hii labia inaweza kwenda mbali hata kuchukua vitu nyumbani kama vyakula.
  10. G

    Mungu anasema mamlaka zote zinatoka kwake anatuasa tuzitii na kuziheshimu. Kupitia hili TZ tuna watumishi wa Mungu wachache sana, wengi ni matapeli

    Viongozi huwekwa na Mungu illi wawaongoze watu wake katika mema, ila Viongozi wakikeungeuka kuwacha raia Mungu huwakataa pia, kitu cha enzi cha utawalawa kunasimama tu pale panapokua na haki
Back
Top Bottom