Hamna kituUnajua nahisi 2028 huyu mama hafiki moja litatokea atajiudhulu na kumuachia Nchimbi au kutatokea Maandamano makubwa kuliko haya na hayo yataiangusha ccm moja kwa moja.
Ndo nyie juzi mliimba kulisifu JWTZ kuwa linalinda raia haliui watu!! Ndio nyie Leo mnawafichia uhalifu hao JWTZ kwa kueneza propaganda za jeshi la Uganda sijui wahuni!Mkuu 'Pulex' sijakusoma zaidi ya kichwa cha mada yako.
Binafsi sijui sehemu hata moja ndani ya nchi hii isiyo hitaji "REFORM". Naona hata kwa sisi wenyewe kama 'individuals', tunahitaji hiyo 'reform' kwa nguvu sana
WaTanzania hata humu JF tumebaki kuwa washangiliaji wa "mikeka" ya mama!
Kila kukitokea uteuzi inakuwa kama kuna mashindano ya kusifu na kupendekeza nani ateuliwe kwenye nafasi ipi, ili na yeye akafaidi matunda ya uovu!
WaTanzania wameuliwa na wengi kuumizwa; wik chache zijazo ukiingia humu humu jukwaani hutatambua kuwa watu walikuwa na majonzi ya kuwapoteza waTanzania wenzao!
Tutaanza tena kila mahala kuona mada za akina Kafulila kafanya hili; au kasema lile!
Hatuwezi kwenda popote kama nchi na hali ya namna hii imewajaa wananchi wenyewe.
Ukinipa mfano 'direct' wa mimi kufanya hayo unayosema, hapo nitakupa jibu sahihi. Hapa unarundika tu watu kwenye kundi sijui kwa faida gani?Ndo nyie juzi mliimba kulisifu JWTZ kuwa linalinda raia haliui watu!! Ndio nyie Leo mnawafichia uhalifu hao JWTZ kwa kueneza propaganda za jeshi la Uganda sijui wahuni!
Propaganda zenu za kitoto kwa kiasi kikubwa sana zimechangia haya mauaji binafsi siyafurahii 🙌🙌🙌🙌🙌
Mfano mzuri ni Kama walivyomtumia mchTPDF imetumika na ccm na kisha kutupwa kama condom
Track record ya ccm huwa wanakutumia kufanikisha jambo lao baada ya hapo hawataki mazoeaMfano mzuri ni Kama walivyomtumia mch
Msigwa.
Sijui wamemtupa kwenye kasha gani la taka, maana hasikiki tena!
Akishaongea huwa hakumbuki wala hafatilii alichoongea mwanzo.Yeye akiletewa anaruka na hutuba iliyopo tu..huwa hapitii na kwa sababu hapitii ndo huwa anashtuka palepale anaposoma kwamba kuna mambo hayapo ndo anaamua kuyaongezea mwnyewe tu. Kama 🤭"WHO ARE YOU??' Sidhani kama iliandikwa ile😅😅😅😇Jeshi liliambiwa lilijiandae na uchaguzi leo linaambiwa lisijihusishe na siasa ndege za jeshi zilitumika hadi kwenye kampeni ya uchaguzi batili.
Anaongea tu ili mradi ameongea na sio anatumia akili ipasavyo kweli kuna msala mkubwa sana Tanzania hakuna rais.
Vyote viwili hatuna.Jeshi liliambiwa lilijiandae na uchaguzi leo linaambiwa lisijihusishe na siasa ndege za jeshi zilitumika hadi kwenye kampeni ya uchaguzi batili.
Anaongea tu ili mradi ameongea na sio anatumia akili ipasavyo kweli kuna msala mkubwa sana Tanzania hakuna rais.
Na alijua kujimaliza haswa.Mfano mzuri ni Kama walivyomtumia mch
Msigwa.
Sijui wamemtupa kwenye kasha gani la taka, maana hasikiki tena!
Kumbuka ni form four failureAkishaongea huwa hakumbuki wala hafatilii alichoongea mwanzo.Yeye akiletewa anaruka na hutuba iliyopo tu..huwa hapitii na kwa sababu hapitii ndo huwa anashtuka palepale anaposoma kwamba kuna mambo hayapo ndo anaamua kuyaongezea mwnyewe tu. Kama 🤭"WHO ARE YOU??' Sidhani kama iliandikwa ile😅😅😅😇