Pinda ni shokabuzoba ya serikali ya JK
Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 22 December 2010
KATIKA gari kuna chombo kiitwacho shock absorber (shokabzoba); madereva mitaani wanaziita shokap. Kazi kubwa ni kuongeza mneso wa gari na kupunguza mtikisiko mkubwa likiingia kwenye mashimo mashimo...
Kama huna la kuchangia bora ukaacha kuliko kupotezea watu muda kusoma upupu wako. Tujaribu kuwa tunajikita kwenye maada, siyo kuandika kila kinachokujia kichwani hata kama hakihusiki.
Jamani Mkandara mkuu wetu kada wa CCM aliyetoa ka slogan ka ANGUKA MPYA, sasa unafikiri watafanyaje ndugu zetu. Wale ni wanafunzi wako mafunzoni ko bado wanaamliwa what they should do. Ila they are trying their level best, Ki TV chenyewe ni cha mazoezi tu so guys msijali sana
wewe mwenyewe ckuelewi kabisa,unajua nafasi ya Mbowe bungeni???? Bunge linaweza fanyika bila waziri mkuu???? changanya na zako sasa utaelewa kwa nini wasiende
Iko pouwa sana tu mkuu hata usiogope, Mbowe ndo kiongozi wetu bungeni means PM wa kambi ya upinzani, utahudhuliaje wakati kiongozi wako hayupo? Ulishawahi kuona bunge linafanyika bila waziri mkuu kuwepo bungeni hata siku moja??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.