BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Guys kama kuna mawasiliano yoyote huko alipo,mwambieni asikubali kula chakula chao hata kidogo.maana hatuwezi jua.
Hili la kweli kabisa kama waliweza kumkolimba Kolimba kwa kutoa kauli kwamba, "CCM imekosa muelekeo" basi pia wanaweza kumdhuru Mbowe.