Tahadhari usihukumu kwa kuwa unanafasi ya kufanya hivyo. Hata muuaji hupewa haki ya kusikilizwa na hata amapohukumiwa kifo bado hupewa faraja ktk nyakati zake za mwisho. Sipingi mtu kuchukuliwa hatua lkn hatua itakayochukuliwa izingatie taratibu zilizowekwa na kama tunaona ni mbaya basi tubadili...
Nadhani hapa tatizo ni uelewa ambao kwa bahati mbaya sana si rahisi kwa asonao kukubali kama hanao. Kigumu zaidi tafakuri zetu zinafubazwa na mahaba ya kutukanika pamwe na chuki dhidi ya utumishi na watumishi wa Umma hii hopofua macho ya dhamira zetu ambapo hata penye nyeusi huwaradhi kusema...
Nimesikitika na kuhuzunika sana nilijaribu kuwa ktk viatu vya huyu mkuu wa idara wallah imenisononesha. Inawezekana kuna majibu mazuri angeweza kuwa nayo na pengine ni mtendaji mzuri aliekosa kueleza anayoyataka muheshimiwa. Najua kuna uwezekano mkubwa wa huyu mkuu wa idara kukosea data lkn...
Mto Zigi ni moja ya mito mashuhuri katika bonde la Pangani. Umuhimu wa mto huu pamoja na huduma ya kimazingira mto huu ndio chanzo pekee cha maji kwa Jiji la Tanga na vitongoji vyake.
Kwa sasa mto huu umeathirika kwa kiasi kikubwa sana. Kutokana na shughuli za kibinaadamu mto huu upo katika hali...
Nimesikiliza mada zilizowasilishwa kwa vijana wa elimu ya juu Zanzibar. Kwakweli si zakutia m atumaini kwa wapenda amani. Kwa maoni yangu ni wakati wa kukemea kauli zote zinazilenga kuondoa umoja lkn muhimu wazanzibari wakumbuke maisha ya dunia ni starehe fupi yenye kupumbaza hivyo hatuna sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.