Kumbe we $muzazi $ ulikuwepo kabisa, wengine hawakuwanao wazazi kama ulivyokuwa mzazi ww. Hivyo ushukuru kupata Fursa ya kumsomesha mwanao. Kuliko huyu yatima aliyekuwa hana pa kushika toka akiwa primary
Kuna mtu yeyote anayekatwa na hili shilika NIC(NATIONAL INSURANCE COOPERATION)?. Ni sheria IPI inatumika na mashilika HAYA ya bima kumkata mteja ambaye hajasajiliwa/hajajisajili kwa hilo shilika la bima? Nawasilisha
Pesa ni kitu kingine ,acha kusema anakuogopa. hata maneno ya mungu yanasema kutembea na Malaya utapoteza pesa lakini MKE Wa mtu utapoteza uhai. Wengine hawajuwagi swala la sheria maana anaona haita msaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.