Recent content by Gabt Ritaha

  1. Gabt Ritaha

    Willy Malecela kajiunge na Arumeru Kampeni Management Team

    ha ha ha ha! TGIF.. u've made my day! sasa..ha ha..hivi kwenye familia yenu mna mchanganyiko wa kihaya kidogo??? am jus curious u know..aixee
  2. Gabt Ritaha

    Willy Malecela kajiunge na Arumeru Kampeni Management Team

    Kwani toka lini wewe majibu yako yakawasaidia wananchi zaidi ya kuuza sura tu ooh nchi 4 ulaya wiki mbili dar?? msaada upi hasa uliowahi utoa kwa wananchi mbaka uweze kusimama na kutamba kiasi hicho ati huna muda?? ila muda wa kuandika pumba fb unao si ndio??
  3. Gabt Ritaha

    Msaada wa nafasi ya kazi ya pr

    Ni Mwanamke ?? ingekua vizuri utupachikie hata ka passport size kake tumsorole! lol, goodluck
  4. Gabt Ritaha

    Willy Malecela kajiunge na Arumeru Kampeni Management Team

    We mzee!! sikumbili hzi FB sijaona pumba zako..vp..baada ya ziara yako kijijini nini kinafata?? mambwepande ulipita??? alafu usione sifa kujipa promo kwa kujianzishia thread..akina zitto na january hawatafuti sifa kwa kutumia social networks kama akili yako inavokutuma..vp lile bonanza la...
  5. Gabt Ritaha

    Vijana wa CHADEMA Tunduma wamechachamaa

    ha ha ha, sijui atakua kaandama na mkewe yule asie cheka..?? spati picha ile wameshuka watu wanaanza kurusha mawe haoo haoo kamataaa shikaaa ..sijui bi.tumbusi ana mbio?? mana naskia hiki kizee kina mbio kama ngiri
  6. Gabt Ritaha

    Paul Chagonja atimuliwe Polisi

    Mtu mzima kutoa maamuzi yaliotawaliwa na jazba na ushabiki wa kisiasa hata haipendezi..kwa akili yake alichoweka kichwani ni maandamano ya CDM..taka taka kabisa!!
  7. Gabt Ritaha

    Najuuta ku mpigia kura sugu awe mbunge wangu

    HA HA HA HA HA HA U've made my day
  8. Gabt Ritaha

    Raisi jakaya kikwete anahusika 10% na ugonjwa wa mh mwakyembe/h

    Maneno Kuntu hayo..wapiii FF na papaa mpua Reja0
  9. Gabt Ritaha

    Jamanieeeeeeeee

    [SIZE=4]Nataka Mnikaribishe kwa ukarimu bashasha na mbwe mbwe zote..sawa sawa??[/SIZE]
Back
Top Bottom