Wanajamii, napenda kuwajulisha kwa masikitiko kifo cha mzee wetu mstaafu Col T.N.Mlai kilichotokea jana jioni ktk hosp. ya KCMC, Moshi. Marehemu alikuwa maarufu sana kwa wale waliopitia JKT miaka ya 80 na 90 hasa vikosi vya Buhemba na Mafinga.
Maziko ni mapema wiki ijayo huko kijijini kwao...
Futa kauli hizi za kichochezi. Si busara kuhuhukumu bila ushahidi. Mlitaka atoe siri za baraza la mawaziri ambazo alikula kiapo kutotoa? Jamani, angalieni ukweli uko wapi! Maamuzi walifanya wote lakini Edo wa watu anahukumiwa bureeee!
Huyu Alipitia JKT operation OKOA 1985/6 na alikuwa akijulikana kama kamanda au Corporal (CP). Tuliokuwa naye tunamjua alivyokuwa mtu RAHIM na mkweli. kuna kila sababu ya kuamini kuwa ameuawa na sio kujiua.
This is not proper. Huwezi kusimama peke yako bila kusimamia kwenye miguu ya chama chako. Na ukumbuke kuwa ubunge ulipatikana kupitia chama na sio mgombea binafsi.
Nisaidieni. Naona kuna nut loose otherwise why dont you keep mumb? Profession nyingine sio za kisiasa wala wito bali ni kukaza buti for 5 yrs and one more as junior dr. Nyie mnapata degree za 3 yrs mnadharau hata hao wateule? Ngoja uugue ndo utajua what you abused. Sorry for
Wacha kiwake na hili ni trailer, picha kamili bado. Tumechoshwa na ubabaishaji. Wazee hawataki kuchukua maamuzi magumu kwa vile nao ni shareholders au beneficiaries.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.