Kibonde naona sasa akili imeanza kukuingia!

Kibonde naona sasa akili imeanza kukuingia!

Huyu Kibonde angefaa sana kwenye michezo ya Bahati Nasibu, angekuwa analiwa mara nyingi sana. Huyu 'MC' nani kampa u-Radio Presenter? Kwa mwezi anaongea pointi 1 nayo kwa bahati sana na bila kujitambua. Kwa hiyo kwa mwaka ni chini ya pointi 12 labda asiende likizo. Msishangilie bali mwombeeni tu kwani baadaye au kesho ataongea uharo. This man is hopeless & unpredictable!
 
asee nlikuwa sijazaliwa bado 2007
unaweza kunimegea hii store mheshimiwa?
gie hile story ya 2007 kuibuliwa[/QUOTE]
 
jf is never boring

68]Akili ni nywele sasa si unaona mwenzinu kipara hakuma haja yakumlaumu[/QUOTE]
 
Nimemsikiliza kibonde muda huu ie saa 11:14 jioni amegundua chanzo cha mgomo ni wabunge kutaka kujiongezea posho!
Nafikiri ameacha kufikiria kwa kutumia MASABURI!

KIBONDE hawezi kuwa na akili hata siku moja labda kama alichoongea leo alikua anasoma maandishi
 
Kibonde wale madaktari walimtolea uvivu kanywea, damn
e+kibonde.JPG

mh.. alivyo na afya hivi.. mnamicingizia bana.. 2007 ilikuwa jst a malaria.. ha ha ha..
 
.........hate kibonde, kibonde, kibonde!!
 
Nimemsikiliza kibonde muda huu ie saa 11:14 jioni amegundua chanzo cha mgomo ni wabunge kutaka kujiongezea posho!
Nafikiri ameacha kufikiria kwa kutumia MASABURI!


angesema neno tofauti na wewe utakavyo ungeanzisha thread ya kumponda

Kibonde ndio yuko hivyo......huwa mnataka aseme mtakacho mfurahi!!
 
Jaman msimlaum sn,na kale kaugonjwa huwa kanachangia kupunguza uwezo wa kufikiri.
 
hivi watu wengine wakoje? Eti kibonde anawatukana madr. Ubongo wake utakua na matundu sio bule!
 
huyu jamaa hawezi kuzungumza janbo la maana hata kama analifahamu. Ni opportunist! Mzee wafitna! Huwa anaongea kama mtu aliyemeza kaa la moto.
 
Back
Top Bottom