Mu-sir
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 3,621
- 1,629
- Thread starter
- #41
Ulichoandika mwanzo mwisho hakina shaka hata chembe,kama wa tz hatuwezi chukua hatua tutaishia kulalamika miaka nenda rudi,pili kama hatuwezi kuchukua hatua tufanye kafara la kitaifa.angalia deni la taifa na hamna mtu anajali kweli inauma sana!
Mkuu sisi waTZ sijui tuna tatizo gani hasa yani hatuwezi kabisa kuamua kwa kauli moja hata kidogo. Nchi yenye resouce nyingi kiasi hiki lakini watawala waweka maslahi yao mbele sana sijui labda itafika siku hiyo.