Tanzania Tanzania...kwaheri kwaheri CCM kama .
CC NA KAMATI YA MAADILI MTAENDELEA KUMDHARAU EDO NA TEAM EDO....THEY ARE SMART WATATOKA CCM KWA KUBAKI CCM.
MMEMALIZA KUPAMBANA NA EDOOO...NA HAMUWATAKI WATU WENYE UWEZO...MNABAGUA KWA KANDA....DINI...JINSIA....NA MBAYA ZAIDIII HAMTAKI WENYE UWEZOOO ....
Watanzania wenzangu na wana CCM mwaka huu CCM wanachezea shilingi chooni kwa dhumuni la kuangalia maslahi ya urafiki. Kuna mpango wa siri wa kumweka Ndugu Brother na wagombea dhaifu kwa matumaini kuwa atawashinda.....ukweli ambao JK na team ya CC wanatakiwa kuujua ni kuwa Team Edo watamchagua mgombea aliye dhaifu atakayewekwa na cc chaguo la Bwana mkubwa...Hivyo kukipa UKAWA ushindi wa mezani ndio adhabu watakayompa na chama cha mapinduzii......
Tegemea mshindi usiyemtegemea..na wasiyemtegemeaaa..
CC NA KAMATI YA MAADILI MTAENDELEA KUMDHARAU EDO NA TEAM EDO....THEY ARE SMART WATATOKA CCM KWA KUBAKI CCM.
MMEMALIZA KUPAMBANA NA EDOOO...NA HAMUWATAKI WATU WENYE UWEZO...MNABAGUA KWA KANDA....DINI...JINSIA....NA MBAYA ZAIDIII HAMTAKI WENYE UWEZOOO ....
Watanzania wenzangu na wana CCM mwaka huu CCM wanachezea shilingi chooni kwa dhumuni la kuangalia maslahi ya urafiki. Kuna mpango wa siri wa kumweka Ndugu Brother na wagombea dhaifu kwa matumaini kuwa atawashinda.....ukweli ambao JK na team ya CC wanatakiwa kuujua ni kuwa Team Edo watamchagua mgombea aliye dhaifu atakayewekwa na cc chaguo la Bwana mkubwa...Hivyo kukipa UKAWA ushindi wa mezani ndio adhabu watakayompa na chama cha mapinduzii......
Tegemea mshindi usiyemtegemea..na wasiyemtegemeaaa..