Wanajamii, napenda kuwajulisha kwa masikitiko kifo cha mzee wetu mstaafu Col T.N.Mlai kilichotokea jana jioni ktk hosp. ya KCMC, Moshi. Marehemu alikuwa maarufu sana kwa wale waliopitia JKT miaka ya 80 na 90 hasa vikosi vya Buhemba na Mafinga.
Maziko ni mapema wiki ijayo huko kijijini kwao Kawawa Kirua Vunjo Moshi.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Maziko ni mapema wiki ijayo huko kijijini kwao Kawawa Kirua Vunjo Moshi.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.