Recent content by G1ONE

  1. G

    JamiiForums Tanzania Laiti Kikwete angeendesha nchi hivi ingemsaidia

    Huyu mtoa posti ana jambo Moja tu. Either wakat Wa JK alimponda sana au anafuta Kiki kwa nguvu. Wanasiasa imara hupima nyakati zote za kisiasa na kuchambua mema na mabaya. Na hii niwakumbushe ktk dunia hii tunayoishi iwe Africa Asia au Ulaya hakuna Rais atakayetawala bila kufanya kosa au...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Utabiri Wangu: Nyalandu kurudi CCM kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020

    Nimeamua kuwaletea utabiri huu baada ya kuona hali za wanasiasa wengi wanaotoka ccm na baada ya maisha nje ya ccm huwaje. Hali zao huwa dhoofu sio kiuchumi Ila huwa kama mkiwa aliekosa baba na mama. Hukosa marafiki aliewazoea kukutana nao wakati ule alipokua ccm. Maisha hayo yananikumbusha kwa...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Mashirika ya umma yakijipanga vizuri manung'uniko yataisha

    Kwa sasa Dunia inakwenda ktk standard utumishi uliobora. Na hii nadhani mashirika mengi ya umma yanafanya jitihada ya kutambulika kimataifa utendaji wao ili kuionyesha Dunia kuwa Nchi fulani inaachana na uzamani na kwenda na usasa (teknoloji). Ni kweli kama tuataanza kuelekeza matatizo yetu...
  4. G

    JamiiForums Tanzania Ukatili wa kijinsia ni nini?

    Ukatili wa kijinsia ni ukatili wowote unaofanywa na mtu kumfanyia mtu mwingine bila kujali umri maumbile kabila rangi dini au mitazamo tofauti ya kisiasa au mingine. Lakini hii inaweza kuwa tofauti sana na inavyotambuliwa na wengi. Wengi wanajua unyanyasaji huu ni wanawake na watoto tu. Na...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Wajumbe wa nyumba 10 simamie swala la kodi kulipwa kila mwezi

    Huu ni wakati wenu wa kusimamia tamko la waziri juu ya nyumba za kupanga. Kodi ilipwe kwa mwezi na sio kwa miezi sita au Mwaka. Kusahau au kutosimamia hili hakutakua na maana saana ikiwa wajumbe walio wengi ndio wamiliki wa nyumba hizo na ndio madalali wakuu wa biashara hio. Simamieni Tamko la...
  6. G

    JamiiForums Tanzania MATOKEO YA CHAGUZI NDOGO CJAJUA MBABE.

    Watanzania wengi wanadhani mabadiliko in sura ili na sura mbili au zaidi ya moja. Mabadiliko ni hatua za ukuaji kutka sehemu moja kwenda nyingine. Hali hii ndio ukuaji. Tanzania inapiga hesabu mbalimbali toka kuupata Uhuru mpaka Leo no miaka mingi sana iliopita. Kwa namna yoyote ya kawaida ni...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe: Kamati Kuu ya Chama cha ZANU-PF imemvua Uenyekiti wa Chama Rais Mugabe, Grace Mugabe avuliwa Uanachama

    Wangemuacha baada ya uchaguzi Wa ndani ya chama
  8. G

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe: Kamati Kuu ya Chama cha ZANU-PF imemvua Uenyekiti wa Chama Rais Mugabe, Grace Mugabe avuliwa Uanachama

    Nadhani hii ni busara ya chama kumuacha salaama.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Katika hali iliozoeleka Tanzania watu wengi hukimbilia kazi au ajira kabla ya kujifunza na kujua sheria za kazi nchini na kimataifa ILO. Watu wengi hukimbilia pia kusaini mikataba ya ajira bila kujua mkataba unasema nini kati ya muajiriwa na muajiri. Hali hii imepelekea watu wengi sana kupoteza...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa ndoa haiangalii umri

    Hivi karibuni kumezuka wimbi la wavulana wadogo kuoa au kuchukua wanawake wenye umri mkubwa jambo ambalo nadhani sio mbaya kwani nao wanawake hao wamekua katika sintofahamu mpaka sasa bila ndoa wala watoto kwa sababu za kula ujana. Ujana unapokwisha heshima inapungua lakini hupungua zaidi pale...
  11. G

    JamiiForums Tanzania Kazi zote za plumber

    Tunafanya fittings za bomba zote nyumba nzima kwa bei ya makubsliano tupigie 0755 079454 Dar es salaam Mbezi juu 0683 008791 tunakwenda hata nje mikoa
Back
Top Bottom