Recent content by G.JUMA

  1. G

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    watu hao wana wivu wa maendeleo. Unadhani watu kama hao wataweza kuwatunza hao samaki wakiachiwa?. Nahisi hamana fikra za kiujasiria mali. "wivu haujengi" hali kama hii inasababishwa pia na ufinyo wa elimu hivyo msiwalaumu kwa kuwa ni wajinga (hawaja elimika). Kwa upande wangu niliwahi...
  2. G

    Bandari D’Salaam yapoteza Sh3 trilioni kwa mwaka

    Kwa sasa TANZANIA sio nchi ya wachache kama zamani walivyoishi babu zetu ni nchi yetu wote. Kumuongoza mtu mwenye uwezo mkubwa wa kupambanua mambo ni kazi kubwa. Kwa ninavyo amini WELEDI ukizingaiwa bila kufatana fatana mambo yatasonga. Kama maendeleo ya nchi hii ni yetu sote, kuzorota kwake...
  3. G

    Waziri Mkuu, unda tume kuchunguza NBAA!

    Najipanga kuchukua CPA Baada ya miaka 4. Ryt now najipanga. "if its hard, go harder" mtoto akifail wazazi wanamkalisha chini. MZAZI AKIFAIL??? Ukifail kupata CPA Tambua kwamba bado haujaiva kuwa mmiliki. Chakufanya ni kujipanga ili uipate na si kulalamika. "I think u can get it if u want it...
  4. G

    Sua sua

    Kilicho kupeleka sua ni nini? Jitambue na upambane nihisi ndilo jambo la msingi kwa sasa. Wakati wa kulalamika umepita , uliopo ni wa kupambana na changamoto zinazo tupata.
  5. G

    Nimeshtuka sana baada ya kusikia hii

    dats a criminal offense naomba uwatake radhi dada na mama zako. MUOGOPENI MUNGU AMBAYE SIFA YAKE YA KWANZA NI MWEPESI WA KUSAMEHE NEA YA PILI NI MKALI WA KUADIBU
  6. G

    Ngo, ngo, ngo, ngo, ngo, ngo,ngo,ngo

    Hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaahh am back . Wakubwa mpoooooo/ ni baada ya kuw msaliti kwa kipindi kirefu sasa nimerudi. Nafurahia kukumilisha mwaka mmoja na siku mbili.
  7. G

    Umechaguliwa chuo gani? Je kimekuridhisha?

    Baf-iu. Facult nimeipenda ila chuo cina info zake za kutosha kama location. Its my 4th choice.
  8. G

    UMECHAGULIWA PROGRAM IPI na NI CHUO GANI??

    Baf- iringa university(iu)
  9. G

    TCU computer expert wanabahatisha

    Bora ukute hata hiyo 0, unakuta N.I.L @ MKUSHI.
  10. G

    Mwana muccobs hebu pita hapa kwa mpigamsuli

    Karibu chagga land mji msafi kuliko yote tz.
  11. G

    Waliofanya udanganyifu mitihani ya taifa mwaka 2011 wachukuliwa hatua.

    Hayo ni maneno tuu ni sawa na mbwa kibogoyo au nyoka wa maonyesho coz hakutakuwa na madhara yeyote.
  12. G

    Hi

    Duh, mtoto akinyea mkono hauukati jamani kuweni wapole na mumueleweshe endaikawa kakosea njia au hajui kabisa.
  13. G

    Vitu gani vya kuzingatia hasa unapofanya biashara ya uuzaj wa mayai ya kisasa?

    Hata mimi sijaambua da ndo tunabaniana mafanikio kiivyo.
  14. G

    Kipi bora... Kuweka pesa Bank au kuwekeza kwenye viwanja

    bank hazina faida katika kutunza fedha kwa muda mrefu coz kuna gharama za uduma nyingi mno kama kuangalia salio,kutuma pesa,makato ya mwezi ,huduma za malipo kama luku n.k. Hivyo basi ukiweka Tsh. 100000 baada ya mwezi mmoja utakuta pungufu ya 100000 hivyo nakubaliana na kuhifadhi pesa kwa...
Back
Top Bottom