kwani ukesha kuwa mwana Chdm ndio usiseme kasoro na madhaifu yake? sasa mnaipondea nn CCM? Kumbe nayo chdm ikiingia madarakani ni Uchadema kwanza?bora tumejua kabla ha2jatupa kura ze2.
Mtu mmoja anasema hivi :'UCHAGUZI WA MAREKANI DARASA KWA WATANZANIA' umefika wakati wa watanzania kukataa kabisa kuchagua chama chochote kinacho hubiri ukanda au udini,navyo viko wazi CUF,uislam kwanza, CHDM,usisi,umimi
mbunge1 amedai uhuru wa eneo fulani ndani ya TZ! Sisiem nayo Tumbo langu...
hawa wapemba hawana tofauti sana na waçhaga wanaotoka kwao na kufanya Arusha uwanja wa siasa na kuatarisha uchumi na maisha wa watu wa Arusha eti wanataka mabadiliko!(change yourself firt).
kadhalika wapemba nao wameacha kupalilia karafuu kwao wanakuja unguja na kudai ati waachiwe wapumue!eti...
ponda akesha rudishwa Brnd,huyo mwingine arudi kwao pemba watuachie unguja xetu yenye amani. Smz mnahabari ile R _d_o ya mtoni ni uamsho?na xenxewe bora i.ng.e
uchama utawaumiza sana watanzanìa.kwani unadhani hiyo chadema yako ikishika uongozi nchi itabadilika au maisha yatabadilika?NEVER EVER.wana siasa wasitudanganye jamani kila mtu anataka kula! viongozi watakao badilisha matumaini ya nchi hii c, CDM nor CCM ila ni yule mwenye hofu ya MUNGU.enough.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.