Recent content by G.25

  1. G.25

    Mvua iliyonyesha leo Jumamosi 23/93/2024 jiji Dar es Salaam na athari zake.

    Pale salendar ndo mkondo wa mto msimbazi unapoingilia, jangwani kunafurika kutokana na level ya bahari kuwa karibia aawa kbs na mto msimazi hivo kufanya maji ya mto kuingia taratibu sana baharini. Hii inaathiri maeneo mengi sana ya dar. Ukiachana na watu kujenga vibaya lakini hizi ni athari...
  2. G.25

    Usimwamini mtu yeyote, pia nahitaji ushauri

    Sio tu achukue chake baada ya gari kuuzwa! Lakini pia anayo haki ya kudai mgao wake wakati gari ipo kazini"
  3. G.25

    Umewahi kukutana ana kwa ana na mnyama gani mkali?

    Tulikuwa tunawinda usiku, tumepaki landrover tunatembea kutafuta wanyama? Mwendo mrefu bila kuoma mnyama yeyote! , master akasema lazima kuna chui au simba anayewafukuza wanyama ili tusiwapate. Ikabidi mission ibadilike! Tuanze kwanza kumuwimda huyu anaewafukuza wanyama! Ni stor ndefu ila...
  4. G.25

    Uovu wa shetani ni upi kwa mujibu wa maandiko?

    Kama aliumbwa na mungu na hiyo roho pia alipewa na mungu!
  5. G.25

    Picha: Hii husababishwa na nini kwenye kuta za nyumba?

    Hata mi nilitaka kumshauri hivi hivi. Pia kama kuna bati upande wa pili linaloshusha maji hapo kwenye tiles ni kimeo zaidi ya maji yanayotoka kwenye bati lake.
  6. G.25

    Najuta kuingalia video ya Joshua

    Kwani hata yesu mwenyewe si alikuwa ni muisraeli? Na kama angekuwepo kwa sasa angekuwa ndie anaeongoza vita! Hizi kanuni za maisha usizihusishe na mambo ya dini.
  7. G.25

    Najuta kuingalia video ya Joshua

    Balozi gani aondoke? Na sababu ni ipi?
  8. G.25

    Hali ya mvua kwenu ikoje?

    Huku dodoma mjini leo tangu asubui hali ya hewa nzuri saana! Nakuna jua kali, mawingu mawingu upepo mwananaaa!
  9. G.25

    Nitaambiwa nachochea chuki, jioneeni hapa👇

    Mtu akitobolewa juu ya unyayo na kufungwa mnyororo anaweza tembea!? Ma wewe ndo nyani wazamani mliobadilika kuwa binadamu!?
  10. G.25

    Hakuna Kiongozi Mbovu nchi hii kwa sasa kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam!

    Mbona umechanganya sana mambo!? Serekali na dhambi wapi na wapi mzee!? Nikukumbushe tu huwa tunatumia kodi kutoka kwa pombe, sigara, kondom, vilainishi nk.
  11. G.25

    Serikali yasitisha huduma za TIA SMILE Massage & SPA kwa kukiuka Sheria

    Sheria nyingine ni zakindezi sana, wako watu wazima wawili tu ndani ya saloon na wamekubaliana jambo lao shida ni nn!? Hiyo sheria hapa inamlinda nani? Dhidi ya nani?!
  12. G.25

    Tsunami kamwe haitokuja kutokea Tanzania kwa sababu zifuatazo (Jifunze usiogope)

    Nilifikiri labda ungeelezea tofauti na mleta mada ili kuonyosha alichopotosha, Au ni vile kajipambanua kuwa ni fundi na sio mwanasayansi msomi ndio maana unapinga tu!?
  13. G.25

    Mungu wa kwenye Biblia ameua watu wengi kuliko shetani. Shetani kaua watu 10 tu

    Kw jinsi ulivoelezea ni kama vile binadamu ni mfugo wa mungu, kama tufugavyo kuku nk. Kwamba mbuzi akiambiwa binadamu ndo mbaya wako atabisha! Binadamu wote tunatambua anaetula roho zetu kajibinafsishia! Na shetani akituambia tunaemuabidu ndo mbaya wetu, tunambishia! Utasikka shidwa kwa jina la...
  14. G.25

    Kumbe kuna Wa/Mtanzania ni miongoni waliopata maafa ya hamas uko Israel

    Hii imekaa kitaalam sana, ukisoma mwishoni ndo imejipambanua ni propaganda ya kuhalalisha kitakachofanywa gaza!
  15. G.25

    Kwanini Watendaji na wenyeviti wa mitaa/Kijiji huuza huduma za kiutawala kwa wananchi?

    Wakati anaanza kuandika nilihisi atashuka na nondo za maana sana! Mpaka mwisho ndo nikajua kuwa alikuwa hajui aendako! Tangu mwanzo alishapitiliza kwao na akaendelea kupuyanga mpaka nje kabisa ya dunia hii! Uchawa unaua uwezo wa kufikiri"
Back
Top Bottom