Pale salendar ndo mkondo wa mto msimbazi unapoingilia, jangwani kunafurika kutokana na level ya bahari kuwa karibia aawa kbs na mto msimazi hivo kufanya maji ya mto kuingia taratibu sana baharini.
Hii inaathiri maeneo mengi sana ya dar.
Ukiachana na watu kujenga vibaya lakini hizi ni athari...
Tulikuwa tunawinda usiku, tumepaki landrover tunatembea kutafuta wanyama? Mwendo mrefu bila kuoma mnyama yeyote! , master akasema lazima kuna chui au simba anayewafukuza wanyama ili tusiwapate.
Ikabidi mission ibadilike! Tuanze kwanza kumuwimda huyu anaewafukuza wanyama!
Ni stor ndefu ila...
Hata mi nilitaka kumshauri hivi hivi. Pia kama kuna bati upande wa pili linaloshusha maji hapo kwenye tiles ni kimeo zaidi ya maji yanayotoka kwenye bati lake.
Kwani hata yesu mwenyewe si alikuwa ni muisraeli?
Na kama angekuwepo kwa sasa angekuwa ndie anaeongoza vita!
Hizi kanuni za maisha usizihusishe na mambo ya dini.
Mbona umechanganya sana mambo!? Serekali na dhambi wapi na wapi mzee!? Nikukumbushe tu huwa tunatumia kodi kutoka kwa pombe, sigara, kondom, vilainishi nk.
Sheria nyingine ni zakindezi sana, wako watu wazima wawili tu ndani ya saloon na wamekubaliana jambo lao shida ni nn!?
Hiyo sheria hapa inamlinda nani?
Dhidi ya nani?!
Nilifikiri labda ungeelezea tofauti na mleta mada ili kuonyosha alichopotosha,
Au ni vile kajipambanua kuwa ni fundi na sio mwanasayansi msomi ndio maana unapinga tu!?
Kw jinsi ulivoelezea ni kama vile binadamu ni mfugo wa mungu, kama tufugavyo kuku nk. Kwamba mbuzi akiambiwa binadamu ndo mbaya wako atabisha! Binadamu wote tunatambua anaetula roho zetu kajibinafsishia! Na shetani akituambia tunaemuabidu ndo mbaya wetu, tunambishia! Utasikka shidwa kwa jina la...
Wakati anaanza kuandika nilihisi atashuka na nondo za maana sana! Mpaka mwisho ndo nikajua kuwa alikuwa hajui aendako! Tangu mwanzo alishapitiliza kwao na akaendelea kupuyanga mpaka nje kabisa ya dunia hii!
Uchawa unaua uwezo wa kufikiri"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.