Recent content by fysk

  1. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wamekipa kifisadi . Hakitajenga kitu.
  2. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Dar na Zanzibar muda sio mrefu zitakuwa na miruko mara mbili ya kenya. Hapo Dodoma December inaanza. Mwanza inafuata
  3. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Jalala huyo.
  4. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Akikupatia majibu najiondoa jamii forum
  5. F

    JamiiForums Tanzania Aliyesoma uchumi hata kwa ngazi ya Astashahada atakubaliana na Mimi kuwa Magufuli aliua uchumi wa Tanzania

    Uchumi ni export zinazotokana na value addition. Kama viwanda . Viwanda vinaitaji umeme wa bei nafuu. Wenye kutabilika. Barabara na reli zenye kupunguza ghalama za usafirishaji. Bandari za kisasa. Na watu wenye elimu.
  6. F

    JamiiForums Tanzania Aliyesoma uchumi hata kwa ngazi ya Astashahada atakubaliana na Mimi kuwa Magufuli aliua uchumi wa Tanzania

    Hauna unachojua kwenye uchumi. Kaa kimya. Uchumi strong haujengwi na petty middle men uchumi strong unajengwa na Manufuring sector. Hauwezi kuwa na na shida za umeme. Bandari, usafirishaji wenye ghalama kubwa ukajenga uchumi.
  7. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kuna kiwanda cha sukari kinajengwa kigoma.
  8. F

    JamiiForums Tanzania Pamoja na tofauti za kisiasa: Rostam Aziz ni mfanyabiashara mzuri!

    Mavi. Sema ni mwizi sana.
  9. F

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia namsikitikia sana

    Shida nadhani ni jinsi walivyokuzwa. Mwinyi watoto wake hata walikuwa hawajulikani na mwinyi ni tajiri. Mkapa watoto wake wako kimya na hauweziwajua. Na mkapa kawaachia mali nyingi. Mahoteli. Viwanda vya sukari. Magufuri ndio sasa wanaanza kuonekana. Lakini sasa hawa wawili daah! Kila...
  10. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Gari zinazotoka Morocco zingepita juu hadi ilala au keko. Gari zinazotoka posta via fire zingepita juu hadi manzese arafu chini ukawa na barabara zingine.
  11. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Yes hata Mimi niliwashangaa kujenga daraja badala ya intacharnge.
  12. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Zinakuza miji yake kwa kasi sana.
  13. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wakenya niwape siri nchi za kisocialist huwa zinaguza miji yake kwa kasi. Hivyo vijiji wanavyovitengeneza ubadilika na kuwa miji haraka. Exammple ni china na urusi.
  14. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kibovu mikenya na mibongo badala ifanyie kazi mapungufu yao yaliowafanya wakose kwenda finally chani yapo yanatambiana kushindwa yote.
Back
Top Bottom