..na Sisi pia tutahimidi mikiki miki,unajua unapo Sema ukweli lazima mtikisiko utokee.!ndio maana hata mbwa mwitu lazima wabekwe.!"bashite 2017" chukulia mfano unamdai MTU cheti halafu hana, Chukulia umemshtumu MTU ni drug dealer na ikawa hivyo, ukamwambia MTU lete vyeti hapa akaleta MACHOZI hii...
Clouds achaneni na siasa,ni kheri kituo kikafungiwa kwa kusema ukweli kuliko kwa kutosema habari kwa matakwa ya mtu mmoja itakuwa fedheha sana ,maana ake hamna hamna kiongozi wa station hiyo
Kiongozi ni MTU bora kati au miongoni mwa watu bora alive chaguliwa kuwaongoza watu,by Polepole 2017, "Sasa Tanzania INA wasomi wazuri tyu,haiwezekani ukamchukua kiatu ukavaa matakoni wakati miguu unayo.!ndio maana tunashangaana,wasomi mtuongoze.!Mfano MTU wa certificate hawezi muongoza MTU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.