Recent content by FUTURE PLAN

  1. F

    JamiiForums Tanzania Mwanza City: The Photo Gallery

    Kwakweli upande wa Majengo Mwanza inajitahidi sana tatizo lililobaki ni Mipangomiji, Kila uelekeo unapoenda unakoenda watu wanashusha vitu sio kinyonge, Kukuta Nyumba ya Million Mia Uswahilini ni jambo la kawaida, Serikali waongeze nguvu hapa
  2. F

    JamiiForums Tanzania Mwanza City: The Photo Gallery

    https://youtu.be/bQKqws5z9FA?si=ll4ox1t7muE1jnfT Hii inajengwa wapi?
  3. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Kenya inapendwa na wazungu ilihali tumezidi vivutio?

    Hahaa hii ni kweli jamaa mpaka brother K ni wao , Ila kiutani utani wanachukua point nadhani hayo wanafanya makusudi kama wafanyavyo kwenye vivutio kama Mt Kilimanjaro n.k kuwa vipo kwao
  4. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Kenya inapendwa na wazungu ilihali tumezidi vivutio?

    Nadhani shida kubwa ya Tanzania ni kubadili namna ya ufikiri wa Watu wetu hili Serikali inapaswa kuliona, Kama uliwahi kushiriki jambo lolote linalohusu kurise awareness ndio utatujua Watanzania ni watu wa aina gani, Asilimia kubwa Sisi ni Aggressive kwenye kutofata utaratibu na excuse nyingi...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Kenya inapendwa na wazungu ilihali tumezidi vivutio?

    Tatizo kubwa la Tanzania ni Hatujitangazi na language barrier, Mtanzania anaenda shule huku Focus yake inawaza Ajira za Halmashauli huyu hawezi kuwaza kujibidiisha kwenye Lugha za Mataifa Mengine!
  6. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Kenya inapendwa na wazungu ilihali tumezidi vivutio?

    Embu fikiria unamtangazaji kama Zuhura Yunis na Salim kikeke shilika kubwa kama BBC badala ya tutengeneze Watanzania kama hawa kwenye Mashirika mengine makubwa sie tumewaludisha Nyumbani, Information is Power bahati mbaya informer wetu wachache International nao tunawaludisha home!
  7. F

    JamiiForums Tanzania Tuchanane: Mambo ambayo akifanya mtu aibu unaona wewe!

    Kuna hawa wanaume wanene wanapendelea kuvaa jezi ama tisheti akikaa kijiweni kwenye benchi unakuta suruari na t-shirt havina ushirikiano mstali wa makalio wote upo nje, aisee inatia aibu sana na pengine ni Baba wa familia kabisa
  8. F

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kusave pesa yako

    So sad lakin hamna namna ni umaskini tu, Kuna tofauti kubwa kati ya kujinyima na kusave, anasave mtu anae kidhi mahitaji yake kwanza tofauti na hapo unajinyima na hii ni dhambi kama zilivyo zambi zingine!
  9. F

    JamiiForums Tanzania Mwanza City: The Photo Gallery

    Kilichofanya Wana Mwanza usiwaone barabarani wakishangaa Ambulance Boty ni hiki, watu wamezoea kuona meli na Ferry, Boti ni mjukuu!
  10. F

    JamiiForums Tanzania Mwanza City: The Photo Gallery

    The new Ghana CBD
  11. F

    JamiiForums Tanzania GDP ya Tanzania na matajiri wake

    Unaeleza Vizuli sana ila kuna kitu unachanganya Mfanyabiashara ni agent tu anaeisaidia serikali kukusanya kodi kutoka kwa hao unaofikili hawalipi kodi, Ipo kama hivi tuseme gharama za Uzalishaji wa Mfuko mmoja wa Cement ni Tsh 12,000/= basi Mzalishaji huongeza faida yake tuseme 3,000/= kisha...
  12. F

    JamiiForums Tanzania China na Marekani zinatumia mifumo tofauti ya kufanya hesabu za GDP. Kuna uwezekano mkubwa GDP ya China ni kubwa kuliko ya Marekani.

    Kwakweli mimi mwenyewe napata ukakasi na namna GDP inavyokua calculated, Ngoja nifafanue kirahisi kabisa Mimi Mwalimu Juma nalipwa Laki tano naishi Iringa matumizi yangu kwa siku ni Tsh 7,000/= kwa sababu bizaa zina bei ndogo, Lakini pia Mwalimu John yupo Dar Mshahara laki tano kama mimi ila...
  13. F

    JamiiForums Tanzania Trump kawakalia kooni Wachina kweli kweli

    Wenye Marekani yao walishajifia siku nyingi wamebaki wacheza Movie na Waimba Mziki!
  14. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwanza isipate Uwanja mzuri wa mpira?

    Kabla ya Mkapa Stadium Mashindano kama Tusker na Kagame Cup yaliletwa Mwanza na Tulijaza CCM Kirumba mpaka ikatapika unahitaji Research gan nyingine uone uhitaji ni mkubwa?
Back
Top Bottom