Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

IMG_20250504_214511.jpg
IMG_20250504_214653.jpg
 
Mwanza yafanyike yafutayo
1.Upanue barabara zifuatazo ziwe Dual carriage
(a) Kenyata road kuanzia mwanza zero mpaka missungwi iwe na 6lanes kwa 4lanes
(b) Usagara kwenda Sengerema kupitia daraja la Kigongo iwe na 6lanes kwa 4lanes
(c) Usagara kwenda kisesa iwe 6lanes
(d) usagara kuwepo na interchange
(e) Nyerere road kuanzia nata kwenda magu iwe na 6lanes kwa 4lanes
(f) Airport kwenda nyanguge iwe 4lanes
(g) kisesa kwenda airport iwe na 6lanes

2.Tunahitaji international Airport itimie maana ni mda mrefuu sana imebaki ni story tu, hii itachochea kuufungua mkoa na nchi pia

3.Kule Kigongo busisi darajani, wahamishwe watu na kupangwe upya, kuwe na makazi ya low density yenye kuanzia floor moja kwenda juu, kuanzishwe taasisi kama chuo kikuu hayo maeneo,
4.Samia scheme projects tunaomba pia ije mwanza na pia ijengwe kigongo busisi

5.Satelite city kama Iyumbu satellite tunaomba pia kwa mwanza iwe busisi huko
Nashkuru
 
Kazi nzuri ya Dr. Angelline Mabula, Ilemela miradi inaonekana, njoo jiji sasa 😛😛😛😛😛😛
Jiji kuna barabara ya njia nne kutoka zero zero mpaka usagara inakuja.Hii barabara ikikamilika jiji litabadilika sana na tuombe pajengwe flyover makutano ya barabara ya pamba na kinyatta ni muhimu sana.Tuendelee kukumbushia ili viongozi watambue umuhimu wake na pia watambua adha iliyopo.
 
Jiji kuna barabara ya njia nne kutoka zero zero mpaka usagara inakuja.Hii barabara ikikamilika jiji litabadilika sana na tuombe pajengwe flyover makutano ya barabara ya pamba na kinyatta ni muhimu sana.Tuendelee kukumbushia ili viongozi watambue umuhimu wake na pia watambua adha iliyopo.
Tatizo pesa hutolewa na mtu na mpaka apende yeye. Utaratibu wa utoaji pesa za miradi si mzuri na si rafiki sana.
 
Kilichofanya Wana Mwanza usiwaone barabarani wakishangaa Ambulance Boty ni hiki, watu wamezoea kuona meli na Ferry, Boti ni mjukuu!
 

Attachments

  • 40619e2f158f5d775021b3d9dd89f390.mp4
    9.4 MB
Natamani sana Serikali hii ya awamu ya sita ya mama wangetujengea kaflyover hata haka kabei nafuu pale Usagara na mama tutakuwa hatumdai kitu.
Screenshot_20250708_210429_Facebook.jpg
 
Back
Top Bottom