Recent content by fusamo

  1. F

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Waziri wa fedha awe JPM mwenyewe ili apete kujua hazina inaendeshwaje, kwani hapo ndio kitovu cha kuendeshea nchi na awe na manaibu wa2, Saada Mkuya awe kwenye fedha na amteue prof. Ibrahim Lipumba awe mb. na awe naibu wa uchumi na uwezeshaji. Nb. Tuache siasa za chuki nchi iende mbele.
  2. F

    Ipi ni bendera halisi ya CHADEMA kati ya hizi

    Hio ndio bendera mpya wataitambulisha baada ya kushindwa uchaguzi. Nao watajivua gamba na bendera mpya!
  3. F

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Umesahau kumalizia ASHAFELI!!!
  4. F

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Kweli kabisa wako hoi majimboni tunaona hata kwenye panga pangua ya watanzania kupitia Azam tv, wengine mpaka wanakimbia midahalo.
  5. F

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Maisha bila ccm yanawezekana
  6. F

    Rushwa ni ajenda ya msingi iliyokimbiwa na CHADEMA

    Chadema wamebugi, fimbo (ufisadi) waliokuwa wakimchapia nayo ccm sasa wamepokonywa na kuchapwa nayo wao! Hoja zao za mabadiliko hazina mashiko na ni bora kubaki na ccm kuliko kumpa mtu nchi ambae atarudisha nyuma maendeleo ambayo yashaanza kuonekana.
  7. F

    Hii menu imenichekesha kweli

    kisomali hicho.
  8. F

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    hamjui vp wakati strabag wanafanya mambo kila mtu anaona ili kutuokoa na foleni
  9. F

    Mtatiro apitishwa kugombea Ubunge Segerea

    watu kama nyinyi hamtakiwi UKAWA, tatizo la chama linatoka wapi? We magamba nini???
  10. F

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Hivi wabongo tunaakili gani ! yani mtu anuutaka urais kwa udi na uvumba kwa kutumia mamilioni ya fedha na sisi tunakaa na kumshabikia. kwa kweli hii itatucost sana kama huyu jamaa atapita. kumbukeni Nyerere alivyotuletea uhuru wa nchi hii alifadhiliwa na wala hakumwaga fedha. Mwinyi nae...
  11. F

    Godbless Lema: Zitto hana ubavu wa kupambana na CHADEMA

    Acha propaganda zako, yani hamtaki kabisa muislam awe kiongozi wa chama. vyama vyote vyenye viongozi waislam mnavisakama kama vya kidini! shame on u!!!
  12. F

    Nape amshukia Dr. Slaa kuhusu ACT- Wazalendo

    Alichoongea nape ni kweli kabisa , huyu Slaa anapenda sana kulalamika
  13. F

    LUKU imeanza kusumbua tena kama kawaida yake

    Hio kweli mimi mwenyewe yamenikuta leo. yani ni shidaaaa.!!!
Back
Top Bottom