Recent content by Furahawill

  1. F

    Maxcom Africa iangaliwe kwa jicho la karibu

    Mnyonge mnyongeni ,haki yake mpeni.Maxcom rekebisha changamoto twende mbele,kama una kauli mbaya kwa wateja acha mara moja,kama una fukuza wafanyakazi bila utaratibu acha mara moja,zaidi Mungu akuongeze na kukufanikisha,tujenge nchi yetu na tumpe Rais wetu support ya kuifanya Tanzania nchi ya...
  2. F

    Kauli za viongozi mbalimbali kuhusu mwanafunzi atakayepata mimba

    Hili jambo linatetea maadili mema,si jambo la furaha kupata mimba nje ya utaratibu mzuri wa kuipata(ndani ya ndoa halali na wakati sahihi),kwa hiyo ni vema tukajua watoto kupata mimba ni matokeo ya maadili mabovu na inapaswa hata kuwe na adhabu kwa wazazi pia wanaoshindwa kulea watoto wao ,mara...
  3. F

    Wanafunzi wa Vyuo Vikuu binafsi 2020 tusimpigie kura kiongozi anayedharau vyuo vyetu

    Kauli ya Rais ichukuliwe kama motivation kwa vyuo vingine kuongeza ubora ili vifikie mafanikio ya UD ,na wala sio kulalamika,kama wanafunzi watapewa nafasi ya kujichagulia vyuo ni ukweli usiopingika kuna vyuo vitakosa wanafunzi ,lakini ili vipate wanafunzi vita anza kufanya maboresho na hatimaye...
  4. F

    Zitto: Rais hana haki kuhalalisha nyimbo ya msanii yeyote kuchezwa au kutochezwa

    Mungu atupe ufahamu na maarifa bila kupata maarifa hatutofika,siasa za Tanzania zinahitaji sisi raia tuwe vizuri kuchambua maneno ya wafanya siasa yana ualakini sana.Kuna watu wapo kupinga chochote,na sisi hatusaidiwi kwa sababu vingine vinapotoshwa kabisa.Ni vema tuwe tunafuatilia habari y'a...
  5. F

    Dr. Dalaly Kafumu: Kusema ukweli uamuzi wa Rais katika suala la mchanga utaligharimu taifa baadae

    Kwani madini yanaoza kama hatupati faida na vinu vilivyopo tusubiri tuu kwa kweli.Au tupate faida nzuri ndo tuendelee mbele hizi vitu ni zetu na inabidi tunufaike,nenda merelani ambapo Tanzanite inapatikana utashangaa palivyokuwa pa hovyo,halafu nje za nchi zinakua kwa mali zetu.
  6. F

    Ni wakati wa Rais Magufuli kuchukua maamuzi magumu kwa maslai ya Taifa

    Ulichosema ni sahihi kabisa,maendeleo au mafanikio yoyote yanahitaji nidhamu ya hali ya juu sana,nchi kama China hairuhusu masihala na ili mradi michango ya watu kusonga mbele na ndio maana wananchi wake kila wakiona tatizo wao wanajua hii ni fursa,hawalalamiki hovyo ,leo Tanzania walalamikaji...
  7. F

    Watanzania, hatumjui Paul Makonda?!

    Hongera kutufikirisha,nafikiri hatujui ukweli wa mambo na ndio maana tunaishia kulaumu watu na kuanzisha hisia ambazo zinaturudisha nyuma.Watu wengi sana wanaangamia kwa kukosa maarifa na hapo ndo penye shida kubwa.Tumuombe Mungu atupe maarifa,halafu tukumbuke amri mbili tuu kubwa; 1: Mpende...
  8. F

    Barua ya wazi kwa RC Makonda: Nenda Ikulu, majina ya Wauza Madawa yapo mezani kwa Rais Magufuli

    Mungu ibariki Tanzania,na wabariki watumiaje ili waache kutumia,then story ya madawa inakuwa haishikiki tena,halafu tunaanza kuwa bize kulima na kuijenga nchi kwa pamoja.Mimi nawaombea watumiaje wapate ufahamu wa hili jambo na watambue madhara yake.!
  9. F

    Sakata la Uber na Madereva Taxi jijini Dar: Ushauri kwa RC Makonda

    Ushauri mzuri,lakini wataalamu wetu wanapaswa wao kubuni vitu kama hivi na kuvileta mbele ya jamii ili vitumike sio ku-copy idea ya mwingine ,kama watapewa nafasi ya ku-copy inamanisha hawa wataalamu walikuwa wapi kufikiria na kuunda chao,na kama vyuo inatengeneza wataalamu ambao wanasubiri mkuu...
  10. F

    Ni aibu kusema Tanzania kuna njaa

    Jamani njaa ni matokeo,tuamue kuibadilisha kwa kukubali kufanya kazi kwa bidii na kujituma," Jembe halimtupi mkulima"- Hii ina maanisha kila mmoja akifuata anachosema Rais na kuamua kufanya kazi kwa bidii,mambo yatabadilika,na pia kila mtu apande mti hata mmoja basi mwaka huu ili kuivuta...
  11. F

    TRA muache kuvizia wateja wa jumla Kariakoo

    Kwa nini ulipe 1,000 na receipt iandikwe 500 ,na unakubali kuichukia na unajua kabisa utakachoonesha kwenye biashara yako ni kile kilichopo kwenye receipt,usikubali receipt pungufu.Wewe ndo utaumia
  12. F

    TRA muache kuvizia wateja wa jumla Kariakoo

    Asilimia 18% inaongezwa baada ya kuweka gharama zako zote,kwa mfano bei ya kununua mzigo ni 700 ,usafirishaji 100 na gharama zingine pamoja na sehemu ya faida yako ni 200 ,jumla kabla ya VAT inakuwa 1,000.Wewe unapouza ikiwa pamoja na VAT 18% inakuwa 1180 TZS.Sasa hapa mfanya biashara hajaumia...
  13. F

    Sababu zinazoweza kukufanya uchukie wanawake wote na mama yako akajumuishwa

    Nadhani,kulaumu wanawake ni uvivu mkubwa sana,mwanamke mfanye awe unavyotaka awe,kama unataka awe na nidhamu na tabia nzuri mfundishe kwa mfano kutoka kwako,watu wanatendwa kweli lakini unakuta hukumfundisha mwanamke aweje,mwoneshe upendo a million ways uone ni kitu gani kitamtenga na...
Back
Top Bottom