Ndadyeletse
Member
- Nov 26, 2015
- 86
- 26
Kwani nani asiyejua kuwa 2015 mlimpigia Lowas endeleeni tu hata 2020 na hata 2025 lakini Mh.JPM ndo mpango mzima hadi 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyo Bashite wake naye si kasomea huko huko anakoponda...Akutakane hakuchugalii tusi.Hili leo limedhihirika wazi hivyo ni wazi wanafunzi mlioko vyuo vikuu binafsi na hata mliosoma katika vyuo hivi siku za nyuma mjue wote mmedharauliwa.
Baba anabagua watoto badala ya kuwa mlezi wa wote!!
Kwa mantiki hii 2020 tuungane kumkataa mtu huyu.
Pole sana Mzee wa Msoga ulijitahidi kukuza sekta binafsi ila mwenzako yuko busy kuingamiza.
Hivi wasomi wa hicho chuo anachokisifia wameifikisha wapi nchii yeye akiwemo?
Sio kila mtu anafaa kuwa kiongozi.
Hakili=AkiliHakili zako unazijua mwenyewe, ila contribution ya private sector hasa taasisi za dini ni za kutolewa mfano more than 70% ya vyuo vikuu tz ni private, Na vimechangia kuondoa gap nililoachwa Na serikali toka 2005, vimesajiliwa Na mamlaka ya umma. Nenda kama Saut mz see the content. Liganisha Na hao Wa Udsm kwenye same entry. Hakuna logic, yes Udsm is best but never deny mchango Wa vyuo vingine, nenda field, you learn something.
Mmeanza kampeni uchwara. Hatudanganyiki. Sisi Magufuli mbele kwa mbele.Akutakane hakuchugalii tusi.Hili leo limedhihirika wazi hivyo ni wazi wanafunzi mlioko vyuo vikuu binafsi na hata mliosoma katika vyuo hivi siku za nyuma mjue wote mmedharauliwa.
Baba anabagua watoto badala ya kuwa mlezi wa wote!!
Kwa mantiki hii 2020 tuungane kumkataa mtu huyu.
Pole sana Mzee wa Msoga ulijitahidi kukuza sekta binafsi ila mwenzako yuko busy kuingamiza.
Hivi wasomi wa hicho chuo anachokisifia wameifikisha wapi nchii yeye akiwemo?
Sio kila mtu anafaa kuwa kiongozi.