Ma
Majibu mepesi kwa hoja nzito.
Mambo ya kodi yanatoka wapi?!
Uwajibikaji haujakidhi vigezo kwenye maeneo nilioainisha, jibu hoja moja moja kwa kuonesha kua ni uongo, na sio kuishia kutetea ni kampun inalipa kodi.
hii sio vita na kampuni, habari ya uongo hua inajibiwa na ukweli, na alioongea uongo anakaa kimya,
hii ni oportunity nzuri kwa kampuni kujipanga upya kwenye maeneo yenye weakness.
tatizo ni kwamba ww unajibu kwa ushabiki wa kutetea, nahis utakua una maslahi,
ila cha msingi ni kutatua izo changamoto.
my wory ni kampun inakua kwa kasi haina mshindani lakini ubora wake sio wa standard (sio ISO Certified) na ni hatari kuoperate inneficient kwakua hauna mshindani.