Dada vumilia omba mungu atakusaidia.ndoa ina mambo mengi unaweza ona lako kubwa ukakutana na kubwa kuliko hilo la kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada maisha ya ndoa yana maengi sana unaweza ukaona wewe unateseka na mapenzi lakini kuna mwingine ukiyajua matatizo yake utashangaa na kuona matatizo yako ni madogo.vuta subra na endelea kumuomba mungu.sababu ukichepuka ndio utaongeza matatizo badala ya kupunguza, maana anaemaliza au kulipiza...
Kaka sikia jambo moja.kupenda sio mchezo kaka.kwa jinsi ilivyo huyo shemeji umempenda sana na hata yeye kakupenda huwezi kuulazimisha moyo ukipenda umependa kaka.malizeni tofauti zenu huyo ndio mwanamke wa maisha yako kaka husipoteze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.